Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Kuna topic form 4 cha physics kinaitwa dispersion of light by glass prism, kama ikiwezekana nayo ifutwe maana wamezizungumiza hizi rangi zote saba na mpangilio wake, nayo itakuwa inahamasisha haya maswala au watoto wanafundishwa Umason.

UJINGA MZIGO.
 
Nimesoma comments kuna baadhi ya watanzania wanaona msanii kuimba matusi kuvuta mabange kwenye video zake kuvaa skirt kuvaa heleni kuchora matatoo kuweka watu uchi kuvaa mavazi yenye logo ya mashoga wao wanaona Sawa tu
 
Watu wanasapoti harakati za mashoga, wanatumia bendera zenye rangi za ukole (upinde wa mvua). Na ndio zinafanania na hiko kikoti alichovaa mboso.
 
Kuna btopic form 4 cha physics kinaitwa dispersion of light by glass prism ,kama ikiwezekana nayo ifutwe maana wamezizungumiza hizi rangi zote saba na mpangilio wake ,may nayo itakuwa inahamasisha haya maswala au watoto wanafundishwa Umason.

UJINGA MZIGO.
Ipo form3 ndugu siyo4
 
Wtt wangu hawaangalii miziki kwa sasa ni marufuku. Bora wasikie tuu huko kwny maredio video zimekua za uchi uchi tuu na ujinga ujinga
Kwahiyo ndo umeona ni njia sahihi ya kuwaepusha? Je wanapokuwa shule huoni wanasimuliana na wenzao, kikubwa wape elimu ya kijinsia wafahamu yapi mabaya na yapi mazuri ya kufanya.
 
Wtt wangu hawaangalii miziki kwa sasa ni marufuku. Bora wasikie tuu huko kwny maredio video zimekua za uchi uchi tuu na ujinga ujinga
Sasa hici karibu shule nyingi za chekechea za english media NADRA SANA KUKOSA PICHA YA UPINDE WA MVUA kwenye kuta za fensi au kuta za madarasa
 
Acheni unyanyasaji kila binaadamu ni sawa!
 
Kinachofanyika hao wasanii hawajui,,,, Kuna mastermind wapo nyuma Yao ndiyo wanao direct hizo mambo
Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.
 
Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.
Ndivyo ilivyo... Umemaliza kilakitu👊👊👊👊👊
 
Back
Top Bottom