mkuu mtu hafundishi watu kitu ambacho tayari wanakijua
Nashindwa nikueleweshe vipi ila wewe tayari unaonekana na majibu yako mfukoni, ulishawahi kujiuliza ni kwanini vitoy vingi vya kuchezea watoto vinatengenezwa kwa nakshi ya hizo rangi? Sababu wanafahamu wakianza externalization ya haya masuala kwa watoto wadogo baadae haitatumika nguvu nyingi kuwaaminisha kuwa WANA UHURU WA KUITENDEA MIILI YAO VILE WATAKAVYO na wao wakaona si ajabu ni kawaida tuu.
Lengo la mboso sio kufikisha ujumbe kwa machoko wenzie no, kwani wao tayari wanajua ila lengo lake ni kufikisha ujumbe kwa wasio machoko/ wanaopinga uchoko kwamba wao pia (machoko) wako huru na wanazo haki za wao kua walivyo. Akili yako haijiulizi kwanini mboso mwenyewe havai hizo rainbow colors akaenda kupiga misele ila ameamua kuvaa kwenye video ambayo anafahamu audience kubwa inaisubiri?
Watu wachache wapumbavu kama wewe ndio mnafanya dunia inakua sio sehemu salama ya kuishi.