Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

freemason wamewekeza sana kwenye media, wasanii na Agendas za wanawake.
Hawa watu wako pale kusambaza utamaduni huu, amin kupitia nyimbo za hawa na ushawishi wao,miaka 7 ijayo zitakuwa zikifanyika sendoff na kitchen party za wanaume wanao olewa.

Sherehe nyingi za wasanii zinatoa mialiko ya kipekee kwa hawa watu.
 
Kijana wa kiislamu anaimbamuziki 😄
 
😂😂 Baada ya kupitia huu uzi nimegundua kuna watu wanafiki aisee yaani mtu anaona dhambi fulani ni bora kuliko fulani na wakati zina uzito sawa.

Nilitarajia ukemee na muziki kabisa da'awa ianzie kwa waimba muziki wakubwa ambao kwa asilimia kubwa ni waislamu.
 
Mtu kuwa muislamu sio tiketi ya yeye aishi kama Waislamu wanavyotaka
 
Ukishaingia katika mziki tu hapo mtu yupo kwenye Vicious cycle ya kishetani kila siku unaongeza akaunti ya vitendo vya kufuru na madhambi.

Mara kuvaa sketi ,kusuka ,matusi ,kuweka watu uchi nk mwishowe mtu asipotubu anakuwa sehemu mbaya.
 
Freemason wanahusika vipi na hawa vijana kuliwa gololi?
 
Ameyataka mwenyewe nyie mpelekeeni moto
 
Freemason wanahusika vipi na hawa vijana kuliwa gololi?
Sehemu ya masharti ya chama...usifikiri wanapenda kufanya ivo..ni maagizo ya chama...
Kama sehemu ya ibada I return nao wanapewa wanachotaka kama vile mauzo ya nyimbo.. trending...mvuto wa juu.collabo za nje ambazo ziliwashinda akina ferooz na juma nature 🤣🤣....kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kubwa...
 
Sijaelewa aisee kavaa nini cha kike hapo?
 
Ushoga mnao nyie kwenye vichwa vyenu, sasa hivi kila rangi ni ushoga,
Mtapata wazimu sababu watu wanapenda nguo za rangi rangi siku hizi
Yaan Dear watu wamevurugwa mnoooo, kila kitu ni ushoga khaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…