Huyo Hemed ni mwanaume mwenye dharau sana, siku moja anahojiwa radio clouds kaulizwa ni "jambo lipi baya ulilowahi fanya ukiwa shule" eti kwa dharau akajibu nimewahi mtemea mate usoni msichana mbaya, akimaanisha mbaya wa sura. Akaongeza nilikuwa siwapendi wasichana wabaya. Du, alinichefua siku hiyo, sikuwahi kumpenda toka siku hiyo till now.