ObieTrice
Senior Member
- Jun 27, 2017
- 159
- 154
Wasanii mbali mbali wakiwa njiani kuelekea Tanga kumsupport Rais Magufuli atakapoweka jiwe la msingi katika mradi wa Bomba la Mafuta Tanga Kesho, Namuona Stamina,@shilolekiuno_badgirlshishi na huyo anaongea ni @rosa_ree from the Industry