Wasanii, mnajua ni mbinu zipi mwanamuziki Diamond anatumia kuwapiku? Je, yeye ni Freemason?

Wasanii, mnajua ni mbinu zipi mwanamuziki Diamond anatumia kuwapiku? Je, yeye ni Freemason?

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Narudia wanawake wote duniani ni Freemason walio ktk madaraja au vyeo mbalimbali ila wanaume ni wachache na ndio hao wenye vyeo na umaarufu

IMG-20180918-WA0009.jpg


Mwanamuziki Diamond mwanzo hakuwa Freemason ila aligundua siri za Freemason na kuzifanyia kazi Mfano
Alijua kuna baadhi ya wanawake Ukitembea nao kimapenzi mambo yako yanakunyookea na jamii inawajua, wanakuwa Mungu kawabariki tangu zamani hivyo nyota zao zinang'alisha na ya kwako, hivyo kabla hajawa maarufu alipita nao hata Mimi niliwahi pita na msichana mmoja wa Kinyamwezi aitwae Sada Thabiti aliyesoma Kazima sec Tabora na alikuwa bingwa wa hesabu na ufahamu wangu dhidi ya masomo ukafunguka na kung'aa mpaka nikatimba chuo kikuu.

Kusalimiana Kwa kupeana mikono, wasanii si kila mtu unampa mkono wengine huiba nyota au kuzipunguza, ndio maana Ulaya na Amerika wazungu wamepunguza salam na kuwa Hi tu,Dully Skys aliamsha sana jamii miaka ya 2003 Kwa Wimbo wake Hi, mfano hata mzee wa Upako mchungaji Lusekelo hutoa tano kukwepa hiyo na marastafari wote, hata Msanii Ali Kiba alishtuka kumpa Mkono Diamond Kwenye msiba japo si kila mtu umnyime mkono, inabidi uusikilize moyo wako

IMG-20180918-WA0010.jpg


Mavazi, ktk mavazi kuna siri kubwa ukinunua nguo Mlimani City au ktk maduka ya nguo special utakuwa na mvuto tu ndio maana Diamond uhaha kufanya shopping ktk maduka mbalimbali ndani na nje japo wapo hata mafundi cherehani wanajua kuzishona nguo zikawa na mvuto japo si wote.

Sigara, Kwa sasa haina nguvu sana japo Kwa zamani iliwasaidia wasanii kupendwa kwani niliwahi safiri na Afande Sele Barfect kwenye treni toka Mwanza alipokuwa katoka kushukuru Kwa kupiga show huko baada ya ushindi wa kuwa mfalme wa Rhythms Tanzania,alikuwa akivuta sigara ndani ya treni barfect kipindi Selikari ndio imepiga marufuku uvutaji wa sigara kwenye watu na alipotakiwa kuizima walijibizana sana na askari yule akimwambia sigara ndio mkombozi wake na hawezi kuizima,aliachwa,sijui waganga huiunganisha vipi mpaka mtu anakuwa na wafuasi wengi ila Kwa sasa haina nguvu sababu ina madhara hivyo tumieni mbinu zingine,hata mwanamuziki AY alikuwa akivuta sana sigara nimekutana nae Mara mbili Royal hotel Tabora akivuta

Pete, bangiri, Udi, Hereni, mikufu na manukato, ni kweli zina nguvu na mvuto hata Mimi nilishawahi pumbazwa dar na dalali mmoja,nikapewa chumba cha kupanga ambacho hata godoro haliingii na nikaridhia kabla ya kuokolewa na rafiki zangu nilipumbazwa kwa kuelekezewa Pete,japo sasa hawaniwezi Mimi ni mtu mwingine kabisa hata Vatican wanajua,ila umaarufu wa vitu hivyo ni wa mda tu

Mwisho umaarufu unaodumu ni wa kujisikiliza na pale utakapotakiwa kujipikicha jicho Fanya,ukijisikia kukuna pua Fanya japo baadhi ya nchi ni mwiko sababu wanajua utapendwa hata viongozhi wanapohutubia hufanya ishara hizo ila mpaka mwili utake usijifanyie.

Je,Diamond Kwa sasa ni Freemason na je anatoa jafara?

Diamond sasa ni Freemason ila kamwe hatoi kafara sema mtu ukifanya tambiko umfyatue unafyatuka wewe maana nyota yake ni kubwa na ni kubwa sababu anafuata codes hakuna mtu anaekuunga na Freemason ni kuamka kwako tu na kujisikiliza

Huwezi kujaza show Ulaya au Marekani kama hujui ishara hizo maana watu wamefunganishwa na ishara hizo na hizo ni ishara toka Kwa Mungu si ushetani

Nb:Mimi nakueleza haya toka Kwa mtu mwenye nguvu Sijitungii wachache wataelewa I was born to educate but not all people will understand alishatabiri Michael Jackson ktk video yake ya This is it
 
Sijaelewa kama jamaa anataka tuige u friimasoni au vp maana pointi hazipo kwa mtindo wa aya pangilifu kufikisha ujumbe kwa hadhira [emoji21][emoji21] 002%
 
"Huwezi kujaza show Ulaya au Marekani kama hujui ishara hizo maana watu wamefunganishwa na ishara hizo na hizo ni ishara toka Kwa Mungu si ushetani " mtoa mada katika Uzi woote sijaelewa apa tu.
Ili nchi isonge mbele ni lazima jamii izijue ishara hizo kama Ulaya na Marekani,ndio zenye nguvu ya kuwashika watu,bahati mbaya hakuna shule mpaka Mungu akugutushe!
 
Ili nchi isonge mbele ni lazima jamii izijue ishara hizo kama Ulaya na Marekani,ndio zenye nguvu ya kuwashika watu,bahati mbaya hakuna shule mpaka Mungu akugutushe!
izo ishara sasa ndio zipi????
 
Funguka mkuu Na sisi tupate mwanga.
 
izo ishara sasa ndio zipi????
Freemason wote huwa wana matukio mazuri na mabaya waliyopitia ktk maisha,na kuna wakati Mungu huwafikilisha Matukio hayo na hulia Kwa uchungu ila hujificha sura kama Yusuphu alivyosalitiwa na ndugu zake,hivyo kufunika uso ni ishara ya Freemason na tunaifanya tunaponawa uso,tunapopatwa na tukio la aibu kama kesi na huona walio freemason huficha uso,tunapolia,hata wanawake na baadhi ya wanaume freemason hupenda kuwaziba wapenzi wao uso kama surprise ila ni ishara yenye nguvu ilianzia pale Musa alipozibwa uso na Mungu asimuone kama angemuona basi binadamu tungekuwa na kiburi na dunia isingetawalika,hata Watoto huzibana sura wakiwa wanacheza

Ndio mana Wazungu huvaa vinyago mask ili kufanya jambo lolote bila kuhofu umri wala cheo maana wanakuwa wameficha sura Ila bila hivyo wasingeweza
 
"Huwezi kujaza show Ulaya au Marekani kama hujui ishara hizo maana watu wamefunganishwa na ishara hizo na hizo ni ishara toka Kwa Mungu si ushetani " mtoa mada katika Uzi woote sijaelewa apa tu.
Halafu Mimi katika Uzi mzima nimemwelewa zaidi hapa. Haki hatulingani,
 
Back
Top Bottom