Wasanii, mnajua ni mbinu zipi mwanamuziki Diamond anatumia kuwapiku? Je, yeye ni Freemason?

Wasanii, mnajua ni mbinu zipi mwanamuziki Diamond anatumia kuwapiku? Je, yeye ni Freemason?

sio kwamba wote walipotea, laah! wengine walikuwa gizani na kwenye mataa ndo wanatokea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyoona signature tu nikasema ngoja nisome I'd aiseee ebu rudisha avatar ya mwanzo iliyozoeleka yaani nilishakusahau
Nami nitaanza kuziba sura
Nalog off
 
Narudia wanawake wote duniani ni Freemason walio ktk madaraja au vyeo mbalimbali ila wanaume ni wachache na ndio hao wenye vyeo na umaarufu

View attachment 870363

Mwanamuziki Diamond mwanzo hakuwa Freemason ila aligundua siri za Freemason na kuzifanyia kazi Mfano
Alijua kuna baadhi ya wanawake Ukitembea nao kimapenzi mambo yako yanakunyookea na jamii inawajua,wanakuwa Mungu kawabariki tangu zamani hivyo nyota zao zinang'alisha na ya kwako,hivyo kabla hajawa maarufu alipita nao hata Mimi niliwahi pita na msichana mmoja wa Kinyamwezi aitwae Sada Thabiti aliyesoma Kazima sec Tabora na alikuwa bingwa wa hesabu na ufahamu wangu dhidi ya masomo ukafunguka na kung'aa mpaka nikatimba chuo kikuu.

Kusalimiana Kwa kupeana mikono,wasanii si kila mtu unampa mkono wengine huiba nyota au kuzipunguza,ndio maana Ulaya na Amerika wazungu wamepunguza salam na kuwa Hi tu,Dully Skys aliamsha sana jamii miaka ya 2003 Kwa Wimbo wake Hi,mfano hata mzee wa Upako mchungaji Lusekelo hutoa tano kukwepa hiyo.na marastafari wote,hata Msanii Ali Kiba alishtuka kumpa Mkono Diamond Kwenye msiba japo si kila mtu umnyime mkono, inabidi uusikilize moyo wako

View attachment 870364

Mavazi,ktk mavazi kuna siri kubwa ukinunua nguo Mlimani City au ktk maduka ya nguo special utakuwa na mvuto tu ndio maana Diamond uhaha kufanya shopping ktk maduka mbalimbali ndani na nje japo wapo hata mafundi cherehani wanajua kuzishona nguo zikawa na mvuto japo si wote.

Sigara, Kwa sasa haina nguvu sana japo Kwa zamani iliwasaidia wasanii kupendwa kwani niliwahi safiri na Afande Sele Barfect kwenye treni toka Mwanza alipokuwa katoka kushukuru Kwa kupiga show huko baada ya ushindi wa kuwa mfalme wa Rhythms Tanzania,alikuwa akivuta sigara ndani ya treni barfect kipindi Selikari ndio imepiga marufuku uvutaji wa sigara kwenye watu na alipotakiwa kuizima walijibizana sana na askari yule akimwambia sigara ndio mkombozi wake na hawezi kuizima,aliachwa,sijui waganga huiunganisha vipi mpaka mtu anakuwa na wafuasi wengi ila Kwa sasa haina nguvu sababu ina madhara hivyo tumieni mbinu zingine,hata mwanamuziki AY alikuwa akivuta sana sigara nimekutana nae Mara mbili Royal hotel Tabora akivuta

Pete,bangiri,Udi,Hereni,mikufu na manukato,ni kweli zina nguvu na mvuto hata Mimi nilishawahi pumbazwa dar na dalali mmoja,nikapewa chumba cha kupanga ambacho hata godoro haliingii na nikaridhia kabla ya kuokolewa na rafiki zangu nilipumbazwa kwa kuelekezewa Pete,japo sasa hawaniwezi Mimi ni mtu mwingine kabisa hata Vatican wanajua,ila umaarufu wa vitu hivyo ni wa mda tu

Mwisho umaarufu unaodumu ni wa kujisikiliza na pale utakapotakiwa kujipikicha jicho Fanya,ukijisikia kukuna pua Fanya japo baadhi ya nchi ni mwiko sababu wanajua utapendwa hata viongozhi wanapohutubia hufanya ishara hizo ila mpaka mwili utake usijifanyie.

Je,Diamond Kwa sasa ni Freemason na je anatoa jafara?

Diamond sasa ni Freemason ila kamwe hatoi kafara sema mtu ukifanya tambiko umfyatue unafyatuka wewe maana nyota yake ni kubwa na ni kubwa sababu anafuata codes hakuna mtu anaekuunga na Freemason ni kuamka kwako tu na kujisikiliza

Huwezi kujaza show Ulaya au Marekani kama hujui ishara hizo maana watu wamefunganishwa na ishara hizo na hizo ni ishara toka Kwa Mungu si ushetani

Nb:Mimi nakueleza haya toka Kwa mtu mwenye nguvu Sijitungii wachache wataelewa I was born to educate but not all people will understand alishatabiri Michael Jackson ktk video yake ya This is it

Instagram:kaukwaju
sawa mkuu tumekupata
 
Mtoa mada hakukuwa na umuhimu wa kumtaja demu wako Kwa jina na shule mliyosoma labda ni mke wa mtu sasa unakuta damage utakayosababisha? Eti ulikuwa kilaza baada ya kumpiga ukaweza maths mpaka chuo kikuu! Na wasiwasi na upeo wako!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyoona signature tu nikasema ngoja nisome I'd aiseee ebu rudisha avatar ya mwanzo iliyozoeleka yaani nilishakusahau
Kkkkkkkk mwaka huu nimeamua kutoka kisimbasimba
Nalog off
 
Nime shindwa kuisoma yote naona Pumba tu zime andikwa apa
 
Ulimwengu huo huujui ni siri kubwa kuujua mpaka roho mtakatifu akushukie na akusimamie,wenye nao wachoyo kutufundisha wanakula raha wenyewe tu,narudia hujui kitu mr.
Ni kweli na hao hao wachoyo wakijua ww ukimpata Roho Mtakatifu wakoradhi kukuibia ule Uwezo wa Kiungu uliowekwa ndani yako ili usifikie lengo la Kiroho yaani Unyakuo
 
Kwa hiyo Kagere ni Freemason... mbona hachezi Ulaya
 
Ni kweli na hao hao wachoyo wakijua ww ukimpata Roho Mtakatifu wakoradhi kukuibia ule Uwezo wa Kiungu uliowekwa ndani yako ili usifikie lengo la Kiroho yaani Unyakuo
Kosa alilofanya mnadhili wa Mungu Samsoni,muigizaji Kanumba,Michael Jackson na wengjne. Wakijua wanakuloga kirahisi kama kudaba gugwa Ndege au panzi ila kama hawatajua hata wafanyeje hawakupati kama mwimbaji Viora karuli wimbo nakupenda alkvyoimba hawakupati,hawakufikii
 
"Huwezi kujaza show Ulaya au Marekani kama hujui ishara hizo maana watu wamefunganishwa na ishara hizo na hizo ni ishara toka Kwa Mungu si ushetani " mtoa mada katika Uzi woote sijaelewa apa tu.
Naona kajikoroga
 
Kweli kazi ipo, nikadhani umeandika vitu vya maanaa! Eeeeh
 
Kosa alilofanya mnadhili wa Mungu Samsoni,muigizaji Kanumba,Michael Jackson na wengjne. Wakijua wanakuloga kirahisi kama kudaba gugwa Ndege au panzi ila kama hawatajua hata wafanyeje hawakupati kama mwimbaji Viora karuli wimbo nakupenda alkvyoimba hawakupati,hawakufikii
Mh!!!
 
Ili nchi isonge mbele ni lazima jamii izijue ishara hizo kama Ulaya na Marekani,ndio zenye nguvu ya kuwashika watu,bahati mbaya hakuna shule mpaka Mungu akugutushe!
Well said
 
Back
Top Bottom