AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Siku mabakuli na vikombe vitakapofunuliwa.......aibu.Mawazo ya mtoa mada bhaana!!
Yaani hadi umemtaja demu wako wa shuleni!!
Tutaonana siku ya hukumu tu.
Maana ndipo yote yatakapofunuliwa.
Kumjua wakala wa shetani na wakala wa Mungu kwa sasa ni ngumu.