Wasanii, mnajua ni mbinu zipi mwanamuziki Diamond anatumia kuwapiku? Je, yeye ni Freemason?

sio kwamba wote walipotea, laah! wengine walikuwa gizani na kwenye mataa ndo wanatokea
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyoona signature tu nikasema ngoja nisome I'd aiseee ebu rudisha avatar ya mwanzo iliyozoeleka yaani nilishakusahau
Nami nitaanza kuziba sura
Nalog off
 
sawa mkuu tumekupata
 
Mtoa mada hakukuwa na umuhimu wa kumtaja demu wako Kwa jina na shule mliyosoma labda ni mke wa mtu sasa unakuta damage utakayosababisha? Eti ulikuwa kilaza baada ya kumpiga ukaweza maths mpaka chuo kikuu! Na wasiwasi na upeo wako!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilivyoona signature tu nikasema ngoja nisome I'd aiseee ebu rudisha avatar ya mwanzo iliyozoeleka yaani nilishakusahau
Kkkkkkkk mwaka huu nimeamua kutoka kisimbasimba
Nalog off
 
Nime shindwa kuisoma yote naona Pumba tu zime andikwa apa
 
Ulimwengu huo huujui ni siri kubwa kuujua mpaka roho mtakatifu akushukie na akusimamie,wenye nao wachoyo kutufundisha wanakula raha wenyewe tu,narudia hujui kitu mr.
Ni kweli na hao hao wachoyo wakijua ww ukimpata Roho Mtakatifu wakoradhi kukuibia ule Uwezo wa Kiungu uliowekwa ndani yako ili usifikie lengo la Kiroho yaani Unyakuo
 
Kwa hiyo Kagere ni Freemason... mbona hachezi Ulaya
 
Ni kweli na hao hao wachoyo wakijua ww ukimpata Roho Mtakatifu wakoradhi kukuibia ule Uwezo wa Kiungu uliowekwa ndani yako ili usifikie lengo la Kiroho yaani Unyakuo
Kosa alilofanya mnadhili wa Mungu Samsoni,muigizaji Kanumba,Michael Jackson na wengjne. Wakijua wanakuloga kirahisi kama kudaba gugwa Ndege au panzi ila kama hawatajua hata wafanyeje hawakupati kama mwimbaji Viora karuli wimbo nakupenda alkvyoimba hawakupati,hawakufikii
 
"Huwezi kujaza show Ulaya au Marekani kama hujui ishara hizo maana watu wamefunganishwa na ishara hizo na hizo ni ishara toka Kwa Mungu si ushetani " mtoa mada katika Uzi woote sijaelewa apa tu.
Naona kajikoroga
 
Kweli kazi ipo, nikadhani umeandika vitu vya maanaa! Eeeeh
 
Mkuu umemaliza chuo kikuu kipi hata Tanzania
 
Mh!!!
 
Ili nchi isonge mbele ni lazima jamii izijue ishara hizo kama Ulaya na Marekani,ndio zenye nguvu ya kuwashika watu,bahati mbaya hakuna shule mpaka Mungu akugutushe!
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…