Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Wasanii msipeleke burudani Mbeya, ule mji wa washamba

Bahati mbaya Tanzania Haina mji wa kijanja hata mmoja,nilitamani ianzishwe mji wenye vibe kama Dubai au Mexico watu wawe kama vichaa kwenye utafutaji, Airlines Kali achana na hayo mashimo ya DSM,hapo buda hamna kitu,hata ukienda Montreal au Zurich utagundua kuwa tunaoigwa bao na kelele za wanasia wakati hayo majengo marefu hapo DSM hayana watu yako matupu.Ni wakati wa kuisimamai Tanganyika na na sio Tanzania
Dar es Salaam
Tanga
Morogoro
Iringa
Mwanza

Hii ni baadhi miji yenye watu wanaojielewa sana.
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Umelalama bila kueleza hao watu wa Mbeya wamefanya nini hadi wewe ukakosa hotel ya nyota tatu!
 
Watu wengine mnakua kama magasho (I feel like kuna ulazima wa kuondoa hilo neno KAMA), I mean wewe binafsi unafaidila nini na majengo makubwa, international offices zilizopo hapo mkoani kwako?
Ubaya au uzuri wa sehemu inategemeana na kiasi cha pesa unachotengeneza na furaha unayopata.

Wengi wenu mnang'ang'ania huko mnakoita mijini ilhali hakuna chochote cha maana mnachofanya, no wonder mnaishia kuwa mario, kuuzishwa unga na kushikishwa kuta ila m fit in lakini moyoni mna depression mbaya mbovu!
Hizi ni hasira mwaisa, acheni uhalifu mji wenu umejaa watu masela mavi hamfai kupewa vitu vya kistaarabu.

Unasema uhoni vina maana gani na mkiona jengo lenye lift mnamwita spika azindue lift
 
Nimeshangaa sana wasanii bado wanapeleka burudani kwenye mji wa Mbeya uliojaa binadamu washamba kupindukia.

Acheni kupeleka burudani kwa watu wasiostaarabika kama wakati ule mlivyofanya kwa Arusha.

Watu wa Mbeya bado wapo kwenye ujanja 1980s ule usela nondo, fujo za kinyani.

Kwanza mji wenyewe wanaita jiji lakini kuna nyumba za tope mpaka leo mjini, mji vumbi tupu, mji hauna hotel ya 3 star, hauna malls wala burger points, hakuna hata international office moja. Wakipata jengo lenye lift wanaita mpaka spika akazindue.

Watu wa burudani achaneni na huo mkoa waendeleee kumsikiliza na kuburudishwa na Awilo wao.

Mtu anatoka kwake anaenda kwenye burudani kufanya vurugu, kutupa chupa, kutukana matusi kama kalazimishwa kwenda vijana wa Mbeya wanaona kuwa wahalifu ni ujanja.
Watu wa Mbeya wamegoma kukukuna nini? Maana si kwa hasira hizi? Au wamegoma kununua Tiketi zenu?
Kwa kashfa ya bosi wenu na kundi lenu ni bora mtafute mikoa mingine mkapige show, Mbeya hamuwezi kuwapata.
Yaani kisa mme-Pididwa na PDiddy ndiyo mlitarajia watu waje? Sahauni,
 
Watu wa Mbeya wamegoma kukuna nini? Maana si kwa hasira hizi? Au wamegoma kununua Tiketi zenu?
Kwa kashfa ya bosi wenu na kundi lenu ni bora mtafute mikoa mingune mkapige show, Mbeya hamuwezi kuwapata.
Yaani kisa mme-Pididwa na PDiddy ndiyo mlitarajia watu waje? Sahauni,
Mbeya ni mji uliojaa watu wanaopenda vurugu ushamba ni mwingi sana Mbeya. Unyani bado ni mwingi sana Mbeya ndio maana watu wenye akili zao hawaendi kuwekeza Mbeya.
 
Mbeya ni mji uliojaa watu wanaopenda vurugu ushamba ni mwingi sana Mbeya. Unyani bado ni mwingi sana Mbeya ndio maana watu wenye akili zao hawaendi kuwekeza Mbeya.
Ulitaka wanaume wajipake lipisticks midomoni na kuvaa nguo za kike ndiyo uwaonw wajanja?
Kwa tafsiri yako kuhusu ujanja ni bora waendelee kuwa washamba na mafala
 
Uduni wako kiakili unazidi kujidhihirisha kwa kuviponda aina hiyo ya vyakula

Usichokijua burger ndiyo chakula nafuu kama mihogo na chachandu tu.
Mbeya huwezi kukuta a nice restaurant, kwa nini? Mji umejaa washamba.
 
Back
Top Bottom