Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Ametoa ngoma mpya wiki iliyopita..P one blackPiggy Black wa FREE DOGS CAMP na goma lake NINI MNATAKA MAZEE
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametoa ngoma mpya wiki iliyopita..P one blackPiggy Black wa FREE DOGS CAMP na goma lake NINI MNATAKA MAZEE
Cheki Bob Maarifa Crew ,walikuwaWatatu AY, AK NA BUFF Gkuna wale CMB crew-waliimbaga track my girlfriend kitu kama icho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjomba Magu shikilia hapo hapo.Maisha yamekuwa magumu hadi watu wanakumbuka utotoniEnzi hizo miaka ya 2000 muziki ulifanyika kwa kiwango kikubwa sana na majina ya wasanii yakapaa, hata shoo walizokuwa wakienda kufanya mikoani zilivutia na kujaza watu japo PA ilikuwa inafanyika kwa kuzungushwa mitaani na gari za Land lover, hahahaha eehh land lover,
Mimi leo nataka kufahamu hawa wadau kwa sasa wako wapi, hivi media haziwezi hata kuwatafuta nakufanya nao mahojiano
Lakini pia kulikuwa na watu maarufu kama producers hata watangazaji waliovuma enzi hizo, kwa sasa wako wapi
John B wa Grandmaster
Muumin Mwinjuma
Pauline Zongo
Said Comolie
Buff G wa East Coast
Bizman
H Mbizo, )nilonge nisi longe)
Picco (kikongwe)
Bablee (kizizi)
KGT
Nuruelly
Squezer (kaka yake Dataz)
Producer Ambah (alikuwa wa iringa jamaa)
Mike Tee (mnyalu)
Alicom
Dknob
Snea wa East Coast
Lil Ghetto wa Akhenato record
Black wa Uswaz
Ongeza nawewe listi yako
Ilikua brand ya mhindi mmoja hiiCheki Bob Maarifa Crew ,walikuwaWatatu AY, AK NA BUFF G
Seliii wangu we kimwanaaanataka tufunge ndoaaaWapambe tusiwakubali Selina Daaa wakati pini linatoka hilo lilikuwa balaa,wimbo wa taifa... 2003-2004 hivi.
Zay B mtafute FacebookDa Jo
Sista P
Zay B
Wako wapi? wanafanya nini kwa sasa? Natafuta sana tracks za Da Jo.... daah back in ze day, when MUSIC was Music.
-Kaveli-
Vip unayo hiyo ngoma.. Naitafuta sana.. Aliimba Dataz kama sikoseiKuna yule mdada aliimbaga 'Kalamu na Karatasi'... kirap fulani hivi. Nadhani alimshirikisha Nuruel kwenye chorus. Anaitwa nani? yupo wapi kwa sasa?
-Kaveli-
"Da Jo Da Jo tumekukubali na Bado ,Inspector Mwenyewe anazimia na Mimi" - Da JoDa Jo
Sista P
Zay B
Wako wapi? wanafanya nini kwa sasa? Natafuta sana tracks za Da Jo.... daah back in ze day, when MUSIC was Music.
-Kaveli-
"Da Jo Da Jo tumekukubali na Bado ,Inspector Mwenyewe anazimia na Mimi" - Da Jo
Nimbo zake ngumu sana kupatikana,ila ninayo moja hivi yupo na somebody BLACk chorus Da jo da jo tumekukubali,yeye anaitikia Na BadoMkuu, nazitafuta sana nyimbo za Da Jo bila mafanikio.
-Kaveli-