Wasanii na watu maarufu waliovuma enzi hizo kwa sasa wako wapi..?

Wasanii na watu maarufu waliovuma enzi hizo kwa sasa wako wapi..?

Enzi hizo miaka ya 2000 muziki ulifanyika kwa kiwango kikubwa sana na majina ya wasanii yakapaa, hata shoo walizokuwa wakienda kufanya mikoani zilivutia na kujaza watu japo PA ilikuwa inafanyika kwa kuzungushwa mitaani na gari za Land lover, hahahaha eehh land lover,
Mimi leo nataka kufahamu hawa wadau kwa sasa wako wapi, hivi media haziwezi hata kuwatafuta nakufanya nao mahojiano

Lakini pia kulikuwa na watu maarufu kama producers hata watangazaji waliovuma enzi hizo, kwa sasa wako wapi

John B wa Grandmaster
Muumin Mwinjuma
Pauline Zongo
Said Comolie
Buff G wa East Coast
Bizman
H Mbizo, )nilonge nisi longe)
Picco (kikongwe)
Bablee (kizizi)
KGT
Nuruelly
Squezer (kaka yake Dataz)
Producer Ambah (alikuwa wa iringa jamaa)
Mike Tee (mnyalu)
Alicom
Dknob
Snea wa East Coast
Lil Ghetto wa Akhenato record
Black wa Uswaz



Ongeza nawewe listi yako
Mjomba Magu shikilia hapo hapo.Maisha yamekuwa magumu hadi watu wanakumbuka utotoni
 
Juma nature-ugali
Daz nundaz -barua
Witness,langa,shaa-wakilisha
Dully sykes-salome,nyambizi
TID-zeze
Wagosi was kaya.-traffic
Prof jay-zari LA mentality
University corner-tshirt na jeans
Soggy doggy-kibanda cha simu
Mandojo and domokaya-nikupe
Ocg-agwelina
Noorah_ice cream
Mangwea-mikasi
Eastcoast-mstari wa mbele
Ali kiba-sindersea
Jaydee-wanaume kama mabint
Ngwea-she got a gwan
Data's and squizer-why
Ay-yule
Mwana f.a-alikufa kwa ngoma
Mr blue..blue blue
Abby skills..Maria
........
......
........
E.t.c@old is the gold
-

-


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da Jo
Sista P
Zay B

Wako wapi? wanafanya nini kwa sasa? Natafuta sana tracks za Da Jo.... daah back in ze day, when MUSIC was Music.

-Kaveli-
"Da Jo Da Jo tumekukubali na Bado ,Inspector Mwenyewe anazimia na Mimi" - Da Jo
 
Back
Top Bottom