Wasanii ni njaa imetawala au mnalazimishwa kumuimba Rais Magufuli na CCM

Wasanii ni njaa imetawala au mnalazimishwa kumuimba Rais Magufuli na CCM

Njaa dawa yake chakula, Ukiwa na chakula hata wewe watakuimbia,
Wewe Endelea kulalamika Wakati Huna chakula cha kuwapa!!
 
Van boy nae katoa za kusifu kwa mpigo kama tatu hivi zote za Chama kile CCM MBELE KWA MBELE, HATUNYWI SUMU HATUJINYONGI, CHAGUO LETU WENYEWE TUMELIPENDA WENYEWE 🤪🤪🏃🏃
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Nimewakumbuka bongo movies nao walifanyaga kweli iyo kazi baada ya hapo naona wakasahaulika
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Na wewe mbona unamsifu?
Unasema janga la COVID lililotukumba "HAPO NYUMA" kwani nani kaliondoa sasa?
Ni njaa au Umelazimishwa?
 
Naona unadandia chululuu kwa mbele.
Nasubiri kuona ikitekelezwa.
Screenshot_2020-07-11-10-17-04-1.jpg
Screenshot_2020-07-11-10-17-18-1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2020-07-11-10-17-04-1.jpg
    Screenshot_2020-07-11-10-17-04-1.jpg
    52.1 KB · Views: 1
Kwa hiyo kwako wakiwaimbia ccm nongwa?

Tunga za vyama vingine mkuu.
Sio nongwa kama wanafanya kwa mapenzi yao, tatizo jamaa anapenda kusifiwa ukimsifu anagawa ubunge. Kitendo cha kusema Hamornize ni mbunge material unadhani ni sawa. Kuna hongo inanukia mkuu.
 
Wameshaimba nani na nani? Ndo nafungua tbc namuona chuchu kwa mujibu wa baba Magufuli
 
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Acha kupiga ramli
Kilsa mtu anayo haki ya kufuata chama akipendacho,ndio hata wapo kina professor Jay
Hivi nyie Tanapa ni demokrasia gani mnayolilia?tukiwapa nchi mtaka vichwa wapinzani wenu nyie
 
mbona namuona kama Mbasha kule nyuma au ndio dj
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Mfano Marlaw sasa anatunzwa na mke wake mtoto wa tajiri
 
Wasanii wa bongo wengi sio wasomi, hawajitambui na hawaelewi wanataka nini kwenye sanaa, kubwa zaidi njaa zao ni kali sana
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Hapo kwenye bold namuonea huruma sana bekafeva
 
Wasanii wa bongo wengi sio wasomi, hawajitambui na hawaelewi wanataka nini kwenye sanaa, kubwa zaidi njaa zao ni kali sana
Sanaa ni KAZI kwani kwenye kazi mtu anataka nini na nini?!!
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Ulitaka wamuimbie Babaako kwa kipi alichofanya?
 
Back
Top Bottom