Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Naona unadandia chululuu kwa mbele.Sasa unashangaa nini mwanachama wa sisiemu kuimba nyimbo za sisiemu? Hivi mmerogwa mara ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unadandia chululuu kwa mbele.Sasa unashangaa nini mwanachama wa sisiemu kuimba nyimbo za sisiemu? Hivi mmerogwa mara ngapi?
Bana choo-HarmonizeNaona unadandia chululuu kwa mbele.
Kwa hiyo kwako wakiwaimbia ccm nongwa?Tujuze ni njaa, vitisho au kuna fungu kutoka hazina mkuu.
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Nimewakumbuka bongo movies nao walifanyaga kweli iyo kazi baada ya hapo naona wakasahaulikaKuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Na wewe mbona unamsifu?Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Nasubiri kuona ikitekelezwa.Naona unadandia chululuu kwa mbele.
Sio nongwa kama wanafanya kwa mapenzi yao, tatizo jamaa anapenda kusifiwa ukimsifu anagawa ubunge. Kitendo cha kusema Hamornize ni mbunge material unadhani ni sawa. Kuna hongo inanukia mkuu.Kwa hiyo kwako wakiwaimbia ccm nongwa?
Tunga za vyama vingine mkuu.
Acha kupiga ramliHii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Mfano Marlaw sasa anatunzwa na mke wake mtoto wa tajiriKuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Sure!Tuache biashara ya muziki ijiendeshe kadri ya upepo wake, hata Mbowe, Zitto, Mbeme na wengine wako huru kusifiwa
Hapo kwenye bold namuonea huruma sana bekafevaKuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Sanaa ni KAZI kwani kwenye kazi mtu anataka nini na nini?!!Wasanii wa bongo wengi sio wasomi, hawajitambui na hawaelewi wanataka nini kwenye sanaa, kubwa zaidi njaa zao ni kali sana
Ulitaka wamuimbie Babaako kwa kipi alichofanya?Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.