Wasanii ni njaa imetawala au mnalazimishwa kumuimba Rais Magufuli na CCM

Nimeona picha yule babu tale amevaa kijani mwili mzima nazani mpaka boxxer. Nilijua ni mgomba.
Ni mtia nia yule ktk chama chenye dola na chenye uhakika wakushinda kwa sera, popularity na kilichowafanyia mengi wananchi, tena yasiyohtaji tochi kutazama na kuyaona.

Kwamba ulitaka kumuona kavaa Gwanda la makamanda au??
 
Ni mtia nia yule ktk chama chenye dola na chenye uhakika wakushinda kwa sera, popularity na kilichowafanyia mengi wananchi, tena yasiyohtaji tochi kutazama na kuyaona.

Kwamba ulitaka kumuona kavaa Gwanda la makamanda au??
Mataga usiwe serious na vitu minor kama hivi.
 
Sanaa ni kazi na ili ikue inahitaji hadhira bila kuchagua itikadi zao za kisiasa au kidini, sasa unapoingia kwenye kukinadi chama fulani cha siasa automatically hata hadhira yako umeigawa kwa mlengo wa kisiasa
Sanaa ni KAZI kwani kwenye kazi mtu anataka nini na nini?!!
 
Katika nyimbo zote za alikiba hii nyimbo ya ccm ni mbovu kuliko nyimbo zote duniani.
 
Nimemuona na yule tajiri wa ufree mason katinga kijani
 

Wewe uliyeshiba ungeimba za chadema ili kuwapa hamasa, maana hao hawana pesa basi waimbie buleili utimize shibe yako,
Waache wenye njaa wajitafutie maana familia zao zinawajua wao na sio wewe.

Hata wakibaki na njaa zao hutawashibisha zaidi ya kuwazodoa.
Heshumu haki na mapenzi ya mtu pale anapoona ni sawa yeye kuamini.
 
Kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2015 mmlisema hivyo ivyo, likini mbona wameendelea kutoboa? Waache watumie fursa vizuri. Hiki ni kipind Chao Cha mavuno.
 
Wasanii wote aliwaroga kanumba na kashagakufa
 
Bashiru kawatosa waache kujipendekeza.
 
Una uhakika wanafanya kwa mapenzi yao hawakutezwa nguvu na system waunge juhudi.
 
Jamaa wanalipwa hela nzuri kama show nyingine sema kule kunakuwa na uhakika wa hela nzuri na posho juu kama wewe ni kada nani asiyependa pesa hapo watu wanalenga pesa za msimu wa kampeni posho na marupurupu ni kibao sana ukilinganisha na pesa za show kwann mtu asifanye ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…