Clouds hawajare tocover kutokana na pengo la Ruge.Ila sasa clouds naona kama taratibu wanapoteza ile touch ya promo walizokuwa wakifanya zamani this time around. Naona kama hawako well organized sijui ni feeling yangu au vipi ila that is how I see it.
Sio Kodi tu huyo ni BET WINNER usimfananishe na mbugira za mtwaraMuziki wa Tanzania hauko hivyo..
Labda kama nia yako ni kupata mademu na umaarufu.
Ndio maana tasnia ya burudani Tanzania inakuwa lakini wanaotajirika siyo wasanii.
Wanaopiga pesa ni media houses/promoters, owners na Managers jama Wasafi festival, Fiesta ba Prime time.
Hao kina Rayvanny wanapata oesa ya kulipa kodi tu.
Unaongelea nini binti yangu ?Kalale BET WINNER huyo usimlinganishe na maunderground wa kimakonde
Zikapigwe jembe fm mwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao wanaofanya hiyo comparison ni hao hao mashabiki wa Wasafi na lengo lao ilikuwa ni kujenga chuki ya kibeef wampandushe Zuchu.
Ndio maana kwa kuwa Nandy anafanya vizuri kwasasa wametumia media yao kwa kumtumia Gig money apambane kujenga uninga wa kumshusha.
Yaani hao Wasafi ukiwa na akili zao timamu unawaina walivyo majoka ya kishetani.
Ndio maana ingawa Kiba ni kiburi ila sometimes namuelewa, walitaka kumtumia akashtuka.
Wanajifanya kinafski media yao eti ya kwetu sote wakati ngoma za Mavoko na Kondegang hawapigi
By the way wewe ni memkwa b, maana hauelewi harmolapa ndo unasema Ana showbizz ambae hata kuongea hajui seriously? ZUCHU NI BRAND KUBWA SAWA DOGO.Tanzania hata wewe ukuandaliwa tamasha na Clouds au Wasafi utapata watu tu na pesa utapata.
Huhitaji kuimba wala kutunga saaana, imba hata cover tu.
Mashabiki wengi Tanzania ni misukule
Hizo showbiz anazo Harmorapa, mafanikio yske yakoje ?
Naongelea kukuoa mrembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaongelea nini binti yangu ?
Dozen kasema hivyo? Really? Basi kutakuwa kuna mambo hayako sawa maana siku hizi naona kama vile kila kitu kiko ovyo hovyo..Clouds hawajare tocover kutokana na pengo la Ruge.
Na nimemsikiia Bdozen anakiri kwamba Ruge angekuwepo asingehama.
So you can guess nini kinaendelea.
Akiondoka hapo Wasafi wewe huyu huyu utakuja hapa kutwa kuchwa unamporomoshea matusi.Zuchu anafanya POA sio kuliko ibra tu sasa hivi umaarufu wa zuchu kamzidi hadi huyo konde . Ukitaka proof angalia hata mtaani kwako ngoma za nani zinalia Sana.
Halafu mimi ninaona kina cheed na killy wamefail sana kwenda kwa harmonize. Ni bora wangebaki kwa kiba tu
Hafmonize ni msanii Tanzania na Afrika kwa sasa amifuatiwa na Ali Kiba then Diamond.Mwisho wa siku kika aliyeko Wasafi huwa tunaona ana mafanikio makubwa sana, mpaka pale atakapopigwa chini.
Qboy, Mavoko na Kufesi wote tuludhani washatusua
mmakonde ana kitambiWasanii wawili waliokimbia label ya king's music ya Alikiba, Cheed na Killy hatimaye wametambulishwa rasmi katika label ya Kondegang ya Harmonize.
Kwa sasa label hiyo ina jumla ya wasanii 5 tangu kuanzishwa kwake ikiwa ni chini ya mwaka mmoja tu pia inasimamia kazi za msanii skales kutoka nchini Nigeria katika Afrika Mashariki.
Awali msanii Q Chila aliwahi kuhusishwa na label hiyo lakini karibuni alifunguka na kusema hakusaini Kondegang kwa sababu Harmonize hawezi kumlipa.
Yes, msikilize kupitia Gerezani ya EFM imo youtubeDozen kasema hivyo? Really? Basi kutakuwa kuna mambo hayako sawa maana siku hizi naona kama vile kila kitu kiko ovyo hovyo..
Nadhani wewe ni mmoja wapo unaemfuatilia mond sana die fans wa mond sema unajikaza tuAkiondoka hapo Wasafi wewe huyu huyu utakuja hapa kutwa kuchwa unamporomoshea matusi.
Dini aliyofanikiwa kuwachomeja huyo Diamond ni nzito
Nitaitafuta mkuu ngoja niidownloadYes, msikilize kupitia Gerezani ya EFM imo youtube
Nani anakufundisha umalaya binti yangu ?Naongelea kukuoa mrembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ni shabiki wa muziki mzuri na sipendi usukule.Nadhani wewe ni mmoja wapo unaemfuatilia mond sana die fans wa mond sema unajikaza tu
Ruge alikuwa anawapa jeuri sana ma prisenter wake kwa jasho la wasanii. Tulimuona Adam mchomvu kwenye hivi ni kweli ya wasafi. Diva loveness alivimbishwa sana bichwa kiasi kujiona yeye ni mkubwa kushisnda mond. Soon ataomba poo maana clouds wanapoteana nowClouds hawajare tocover kutokana na pengo la Ruge.
Na nimemsikiia Bdozen anakiri kwamba Ruge angekuwepo asingehama.
So you can guess nini kinaendelea.
Sawa mbona mwenzake rayvanny ametulia tu. Kwanza angejipima ki uwezo suala la label linahitaji watu wengi. Pale wasafi kuna timu ambayo kabla ya nyimbo kuachiwa wana ipima kwanza. Kumbuka harmo kipindi yupo wcb ngoma yake nishapona ilizuiliwa akaiongeza manjonjo ndio ikakubaliwa nishachoka. Compare kwangaru. Never give up. Show me, sasa anaimba vijembe vingi ngoma hazishawishiMimi ni shabiki wa muziki mzuri na sipendi usukule.
Nina Group la Facebook very hot la Wasafi watu 250k+ lakini hiyo siyo sababu ya kuwapa umungu mtu watu na kuona wengine hawawezi kufanya kitu.
Hata Diamond kapambana na Clouds ndio kasimamama .
Maendeleo na hatua kimaisha huja baada ya kutatua challenges
MaraYes, inasikika Mwanza.
Na hao watu ukiangalia wamejipanga. Huyo Jembe ni Jembe ana mpaka tamasha linaitwa Jembeka Festival na huwa wanaleta wasanii wakubwa kama Wizkid.
Huyo Jembe ni Jembe ni hatari yawezekana kuliko Sallam ila ni mtu wa kimya kimya.
Check endorsement za Harmonize ndani ya muda mfupi tu ambazo hata Kiba hajawahi kupata.
So baada muda usishangae Jembe fm na TV zinasikika nchi nzima na tamasha lao Jembekat Festival linaruka mikoa mingi
Kwasasa beach yake Inashida gani?Kweli mkuu,Yule jamaa 'Ndege' yuko njema sana.Enzi hizo ile beach yake ya Jembe ni jembe ilikua inajaza watu sio mchezo na alipiga pesa fresh sana.
Nadhani hata exposure hua anayo ya kutosha,atafika mbali.