Umeandika ukweli mtupu....mbona inawezekana wakafanya collabo za hapa hapa ndani na nyimbo zikabamba tu??
Tatizo wanatafuta shortcut za mafanikio wakati uwezo wao mdogo, Aslay anafanya poa sana nakubaliana na wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani umetumia nguvu kubwa kiasi iki kutetea ujinga mkuu? Hapa sina lengo la kuwapoint wasanii hao tu, hapana wako wengi tu, hao nimetolea mfano na swala sio kulinganisha et aslay sijui kafanya nin? Hell no, nimejaribu kubainisha namna wanavyozifanyia mzaha ndoto zao za kimataifa ktk hali ya ukichaa.
Sasa huyo Aslay unayemsifu wewe mfano hapo South wanaandaa shindano la muziki ndiyo tunampeleka Aslay? Nimekwambia wewe muziki hujui unabisha.
Ni kweli umeonyesha mizaha yao lakini umebugi wa kutuonyesha kua eti ndiyo ana nafuu.
kiswahili kigumu mkuuNa siku hizi wimbo umekuwa nyimbo!