666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
- Thread starter
- #21
Umeandika ukweli mtupu....mbona inawezekana wakafanya collabo za hapa hapa ndani na nyimbo zikabamba tu??
Tatizo wanatafuta shortcut za mafanikio wakati uwezo wao mdogo, Aslay anafanya poa sana nakubaliana na wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam, mkuu pamoja sanaa, labda tuwasaidie kwa kuwaambia kama hivi, labda lakini.