sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Mtoto ana balaa kaingia kwenye industry na classicUmetisha,
had macvoice ndan,
Hujielewi wewe.Mtoto ana balaa kaingia kwenye industry na classic
Mkuu usipende sana vya bure kuna kushika ukutaLipa deni la watu kwanza ..
Classic inatengenezwa na yoyote awa unaoona watoto wameshafanya makubwa kuliko your favourite artistsHujielewi wewe.
Unaleta watoto wakina zuchu na mac voice? Are you serious bro? Au unaleta uchawa wa wcb?
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic.
Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka.
Sio kila hit song ni classic.
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
Mbosso - Nadekezwa
Rayvanny ft Zuchu - Number one
Zuchu- Nisamehe
Ali Kiba - Mack Muga
Prof Jay - Piga makofi
Lady Jaydee - Machozi
Mwana Fa - Mabinti
Mandojo& Domokaya - Wanoknok
Mpenzi - Dudubaya
Nenda - Macvoice
Kazi yake mola - Madee
Tutakukumbuka - Crazy GK
hz ndo nyimbo ambazo zmekaa zaid ya miaka 15 hv na bdo haijachujaChemsha Bongo - Professor Jay
Sugu Moto Chini- Sugu
Mambo ya Pwani- Solo Thang
Juma Nature- Sonia
Gangwe Mobb- Mtoto wa Geti Kali
Lady Jay Dee- Machozi
Mabaga Fresh- Tunataabika
Wewe una miaka kumi na ngapi?Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic.
Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka.
Sio kila hit song ni classic.
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
Mbosso - Nadekezwa
Rayvanny ft Zuchu - Number one
Zuchu- Nisamehe
Ali Kiba - Mack Muga
Prof Jay - Piga makofi
Lady Jaydee - Machozi
Mwana Fa - Mabinti
Mandojo& Domokaya - Wanoknok
Mpenzi - Dudubaya
Nenda - Macvoice
Kazi yake mola - Madee
Tutakukumbuka - Crazy GK