Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Mkuu inaonekana ukuta unaushika sanaIn
Mkuu usipende sana vya bure kuna kushika ukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inaonekana ukuta unaushika sanaIn
Mkuu usipende sana vya bure kuna kushika ukuta
Mapenz kitu gani MB dogNi wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
- Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
- Mbosso - Nadekezwa
- Rayvanny ft Zuchu - Number one
- Zuchu- Nisamehe
- Ali Kiba - Mack Muga
- Prof Jay - Piga makofi
- Lady Jaydee - Machozi
- Mwana Fa - Mabinti
- Mandojo& Domokaya - Wanoknok
- Mpenzi - Dudubaya
- Nenda - Macvoice
- Kazi yake mola - Madee
- Tutakukumbuka - Crazy GK
Mwan FA sio mtoto wa juzi labda hujui historia ya bongo flevaMtoto wa juzi huyo...
Captain John Komba _ Hatujinyongi hatunywi sumuNi wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
- Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
- Mbosso - Nadekezwa
- Rayvanny ft Zuchu - Number one
- Zuchu- Nisamehe
- Ali Kiba - Mack Muga
- Prof Jay - Piga makofi
- Lady Jaydee - Machozi
- Mwana Fa - Mabinti
- Mandojo& Domokaya - Wanoknok
- Mpenzi - Dudubaya
- Nenda - Macvoice
- Kazi yake mola - Madee
- Tutakukumbuka - Crazy GK
Kama wimbo wa tembo, ikwepeshe"Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka."
nimejaribu kunukuu maneno yako.
Zuchu
Mac voice
Mbosso
RayVan
Hawa Vijana hawana hata 10yrs kwenye game umejuaje nyimbo zao ni Classic,
Ili nyimbo iwe classic inabd ipite Generation zaidi ya Moja.
Nilimaanisha mtoa mada ni mtoo wa juzi ... nna heshima kubwa sana kwq mwqna FA mkuuMwan FA sio mtoto wa juzi labda hujui historia ya bongo fleva
Imekaa ki wcb Sana [emoji23][emoji16][emoji23][emoji23]Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
- Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
- Mbosso - Nadekezwa
- Rayvanny ft Zuchu - Number one
- Zuchu- Nisamehe
- Ali Kiba - Mack Muga
- Prof Jay - Piga makofi
- Lady Jaydee - Machozi
- Mwana Fa - Mabinti
- Mandojo& Domokaya - Wanoknok
- Mpenzi - Dudubaya
- Nenda - Macvoice
- Kazi yake mola - Madee
- Tutakukumbuka - Crazy GK
Huu wimbo ni mkali kuliko nyimbo zote za bongoYaani hadi sasa sijaona mtu aliyemtaja MB Doggy...wimbo kama Latifah ule ni wimbo wa wakati wote
Huu wimbo ni mkali kuliko nyimbo zote za bongo