Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.

Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.

Wasanii wa bongo na classic songs

  • Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
  • Mbosso - Nadekezwa
  • Rayvanny ft Zuchu - Number one
  • Zuchu- Nisamehe
  • Ali Kiba - Mack Muga
  • Prof Jay - Piga makofi
  • Lady Jaydee - Machozi
  • Mwana Fa - Mabinti
  • Mandojo& Domokaya - Wanoknok
  • Mpenzi - Dudubaya
  • Nenda - Macvoice
  • Kazi yake mola - Madee
  • Tutakukumbuka - Crazy GK
Mapenz kitu gani MB dog
Latifa MB dog
 
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.

Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.

Wasanii wa bongo na classic songs

  • Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
  • Mbosso - Nadekezwa
  • Rayvanny ft Zuchu - Number one
  • Zuchu- Nisamehe
  • Ali Kiba - Mack Muga
  • Prof Jay - Piga makofi
  • Lady Jaydee - Machozi
  • Mwana Fa - Mabinti
  • Mandojo& Domokaya - Wanoknok
  • Mpenzi - Dudubaya
  • Nenda - Macvoice
  • Kazi yake mola - Madee
  • Tutakukumbuka - Crazy GK
Captain John Komba _ Hatujinyongi hatunywi sumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka."

nimejaribu kunukuu maneno yako.

Zuchu
Mac voice
Mbosso
RayVan

Hawa Vijana hawana hata 10yrs kwenye game umejuaje nyimbo zao ni Classic,

Ili nyimbo iwe classic inabd ipite Generation zaidi ya Moja.
Kama wimbo wa tembo, ikwepeshe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi classic inaanza miaka mingapi [emoji23]
Miaka ya 50? 60? 70?
Labda kina Mbaraka Mwinshehe ila hawa wa sasa bado nyimbo zao hazijakomaa sana wape miaka mingine 10-20
 
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.

Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.

Wasanii wa bongo na classic songs

  • Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
  • Mbosso - Nadekezwa
  • Rayvanny ft Zuchu - Number one
  • Zuchu- Nisamehe
  • Ali Kiba - Mack Muga
  • Prof Jay - Piga makofi
  • Lady Jaydee - Machozi
  • Mwana Fa - Mabinti
  • Mandojo& Domokaya - Wanoknok
  • Mpenzi - Dudubaya
  • Nenda - Macvoice
  • Kazi yake mola - Madee
  • Tutakukumbuka - Crazy GK
Imekaa ki wcb Sana [emoji23][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Unajua nn maana ya classic songs! Rekebisha iyo list yko halaf utafute nn maana classic sogs
 
Jebby-swahiba
mr blue- tabasamu
Diamond-ukimwona
chege ft diamond- mwanayumba
chege ft diamond- mwache aolewe
Juma nature- Naja
Tunda man ft chidbenzi- nelia
Chidbenzi ft mzeeb yusuph- mashallah
Crazy Gk - sauti ya manka
Alikiba - mac muga, ya karimu, cheketua,single boy aliyoimba na jide commando
Jay dee- Mtalimbo,ndindindi
 
Ferooz_ starehe & boss
Prof J-bongo,zali la mentali,nikusaidieje,ndiyo mzee,kikao cha dharula,msinitenge
Daz Nunda_kamanda,nipe tano na barua
Mb dog_waja,ratifa
Fid q_agost13
Dully_salome,dhahabu
Matonya_vaileti,dunia mapito
Madee_kazi yake mola
K salla_mkiwa
King gk_saut ya manka,utanikumbuk,sistasista
Mwana fa_alikufa kwa ngoma
Jay moe_jua na mvua,maisha ya boading
J Nature_staki dem,hakuna kulala,inaniuma sn
Banana zoro_mama yangu
Nguza_seya
Mwinjuma_kilio cha yatima,mgumba,tunda
Twanga pepeta_jirani,busu la 2002
Soggy_kibanda cha sim
Afande_darubini,mkuki moyoni,mtazamo
20%_money



Kifoo ooh kiifoo kifo hakina huruma,ti tii tii tii ti_jina la huyu marehem limenitok

ILA ZIPO NYINGI TU
 
Back
Top Bottom