Last emperor JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 10,351 Reaction score 9,855 Jan 29, 2022 #61 Maisha na Muziki- Darassa
The MoNA JF-Expert Member Joined Sep 19, 2014 Posts 4,168 Reaction score 10,184 Feb 5, 2022 #62 Malaika nakupenda malaika. Wimbo wenye utata waumiliki. MiriamMakebia aliuimba akasema "today am going to sing a song from Tanzania" Umeimbwa na wazungu wajapan waafrika wa nchi kadhaa. Kundi la Boney M wameuimba pia. Bonge la wimbo sana。 Natamani ungeimbwa kwa tempo ya polepole kwa ustadi mkubwa na watz wenyewe. Waimbaji wenye sauti asilia.
Malaika nakupenda malaika. Wimbo wenye utata waumiliki. MiriamMakebia aliuimba akasema "today am going to sing a song from Tanzania" Umeimbwa na wazungu wajapan waafrika wa nchi kadhaa. Kundi la Boney M wameuimba pia. Bonge la wimbo sana。 Natamani ungeimbwa kwa tempo ya polepole kwa ustadi mkubwa na watz wenyewe. Waimbaji wenye sauti asilia.