Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

Juma nature - Hakuna kulala

- Mzee WA Busara

Inspector Harun - Asali WA Moyo

Marlaw - Bembeleza

Lady Jay Dee - Distance

Pr. Jay - Bongo Dar es salaam

-Nikusaidiaje

Jay Moe - Kama unataka Demu

Ferooz - Starehe

Daz Nundaz - Kamanda

Ali Kiba - Cinderella

-Mwana

Diamond - Ukimwona
 
Anakosekana vp afande sele,prof jay,jay mo..!!!?R I.P Albert Mangwea [emoji120]
 
Lazima utakua unatania. Hakuna mtu wa kusikiliza hiyo nadekezwa ya Mbosso, nisamehe ya Zuchu au hiyo Number one ya Rayvanny miaka 10 ijayo, labda wao wenyewe na familia zao. Ila angalia ngoma kama hizi:
Kasuku - Les Wanyika,
Rangi ya chungwa- Tabora Jazz,
Napenda nipate lau nafasi-Kilwa Jazz Band,
Kifo-Remmy Ongalla,
Georgina - Marijani Rajabu,
Mtaa wa saba, Shida & Jogoo la shamba - Mbaraka Mwinshehe,
Embe dodo -them Mushrooms,
SEYA,
Roger Milla - Pepe Kale n.k
Hiyo ni mifano tu ya ngoma ambazo zimedumu vizazi kibao, bado zinaishi mpaka leo, na tuna uhakika tutaondoka na kuziacha pia.
Ukirudi kwenye bongo fleva kuna mawe wadau wameshuka nayo hapo juu, kama starehe, chemsha bongo, mzee wa busara, mtoto wa geti kali, bongo Dsm, mikasi, hili game, zali la mentali, barua, kamanda na nyingine nyingi.
 
Hakuna kitu hapa
 
Msanii anayetengeneza nyimbo za maana ni Ben pol yupo on top hao wengine wanafuata
 
Nyimbo za maombokezo zinaishi kama hii ya Tutakukumbuka - Crazy GK ft Tid na ile ya Madee.kila ikitokea misiba mikubwa Redio lazma utazisikia.
 
Msanii simjui --Malaika nakupenda hili chupa limetoka miaka ya 1936 huko ila mpaka leo nikisikiza ni hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…