Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

Malaika nakupenda malaika. Wimbo wenye utata waumiliki. MiriamMakebia aliuimba akasema "today am going to sing a song from Tanzania"

Umeimbwa na wazungu wajapan waafrika wa nchi kadhaa. Kundi la Boney M wameuimba pia.

Bonge la wimbo sana。

Natamani ungeimbwa kwa tempo ya polepole kwa ustadi mkubwa na watz wenyewe. Waimbaji wenye sauti asilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…