Wasanii wa bongofleva wasio na mionekano ya kisanii kabisa

Hiyo ndio research yako uliyoifanya,mpaka kuandika huu Uzi.
 
Pumbafu Sana Wewe, mtu akifuga ndevu kama mchicha ndio mwonekano wa kisanii? kumbe hata maana ya sanaa huijui? unataka wawe kama Rick Ross au kanye mashariki. ushabiki wa sanaa kiulimwengu haupo hivyo dogo, ndio maana hadi Hamorapa anamashabiki wake, wengine kaka zako tumemis hadi achimenengule nyambafu!!!
 
Huu uzi nategemea uwe umewekwa na mtoto wa kike.
 
Members wa jamii forums wasio na mwonekano wa kijamii forums, JUVENILE DAVIS huyu jamaa hafananii na jamii forums ni mlugaluga hana hoja za msingi mada zake ni pumba tupu hapa jukwaani, bora uendelee kuvuna ufuta kwenu huendani na jamiiforums
umekanyagia kapata na yeye
 
Muulize Roma jinsi anavyotolewaga humu kwenye jukwaa za fiesta na freestyle za huyo andunje (stamina a.k.a Mr bone venja)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Andunje
 
Hamonaiz alifaa kufanya kaz Car Wash
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…