Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Tunaposemaga kwamba CCM wameishiwa mbinu huwa tunaamanishaga mambo kama haya.
Kwa hiyo sasa hivi hadi wasanii wa Gospel na wenyewe wanaenda kuunga mkono juhudi.
Hizi ni dalili za chama ambacho kipo ni decline.
CCM mbinu kama hizi hazitawasaidia, badala ya kutafuta think tanks na kuboresha ilani yenu mko busy ku-book kina Christina Shusho na Martha Mwaipaja.
======================================
Wasanii wa Injili kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia
Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao amesema kuna tukio kubwa la and injili linakuja ambayo litakutanisha wasanii wa Injili Mlimani City kwaaili ya kumuombea Rais Samia.
Tunaposemaga kwamba CCM wameishiwa mbinu huwa tunaamanishaga mambo kama haya.
Kwa hiyo sasa hivi hadi wasanii wa Gospel na wenyewe wanaenda kuunga mkono juhudi.
Hizi ni dalili za chama ambacho kipo ni decline.
CCM mbinu kama hizi hazitawasaidia, badala ya kutafuta think tanks na kuboresha ilani yenu mko busy ku-book kina Christina Shusho na Martha Mwaipaja.
======================================
Wasanii wa Injili kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia
Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao amesema kuna tukio kubwa la and injili linakuja ambayo litakutanisha wasanii wa Injili Mlimani City kwaaili ya kumuombea Rais Samia.