Pre GE2025 Wasanii wa Injili wakiongozwa na Mwamposa wajipanga kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia!

Pre GE2025 Wasanii wa Injili wakiongozwa na Mwamposa wajipanga kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Tunaposemaga kwamba CCM wameishiwa mbinu huwa tunaamanishaga mambo kama haya.

Kwa hiyo sasa hivi hadi wasanii wa Gospel na wenyewe wanaenda kuunga mkono juhudi.

Hizi ni dalili za chama ambacho kipo ni decline.

CCM mbinu kama hizi hazitawasaidia, badala ya kutafuta think tanks na kuboresha ilani yenu mko busy ku-book kina Christina Shusho na Martha Mwaipaja.

======================================

Wasanii wa Injili kukutana Mlimani City kumuombea Rais Samia

Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao amesema kuna tukio kubwa la and injili linakuja ambayo litakutanisha wasanii wa Injili Mlimani City kwaaili ya kumuombea Rais Samia.

Wameshapoteza muelekeo kwa sababu tu ya njaa zao. Muda si mrefu na wenyewe watakuwa wanadharauliwa tu kama wale wenzao wa Bongo muvi na hizo takataka nyingine za bongo fleva.
 
Back
Top Bottom