Wasanii wa kibongo ombeni msamaha kwa Diamond..kabla hali haijawa mbaya

Wasanii wa kibongo ombeni msamaha kwa Diamond..kabla hali haijawa mbaya

ukute kwenyefamiilia yako kuna watu hawasemezani na hujawahi kutoa ushauri wakae chni wapatane ila ya Diamond unahisi unayajua sana na kutaka aombwe msamaha.

Diamond ni mtafutaji kama hao wengine tu na kila mtu ana wakati wake wa kuvuma.
 
Haya mke mwenza wa Zuhura umesikika, vipi leo Domokayaa zamu iko kulala kwako au.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na juhudi anazo...anajituma...huoni anapiga radha mpk za naija uko
 
Una uhakika na Mond kumbikiri huyo zuhura? Ukute ya nyuma enyewe hajafungua yeye.

Soon mje na Abigail chams ni bk, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisa yeye kasema, na akati katobolewa kitamboo.
😄 😄 twende mbele turudi nyuma, zuu ni mtamu sana, anakata mauno balaa
mie hapa mate yananibubujika nikiona kamkalia Mondi kwa lap kisha anakata mauno
sipati picha 6x6
 
😄 😄 twende mbele turudi nyuma, zuu ni mtamu sana, anakata mauno balaa
mie hapa mate yananibubujika nikiona kamkalia Mondi kwa lap kisha anakata mauno
sipati picha 6x6
Zuchu mzuri sana Hakuna demu anampata Watasubiri Sana Hawa mademu wakibongo mtoto kila siku anazidi kupendeza.
 
[emoji1] [emoji1] twende mbele turudi nyuma, zuu ni mtamu sana, anakata mauno balaa
mie hapa mate yananibubujika nikiona kamkalia Mondi kwa lap kisha anakata mauno
sipati picha 6x6
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kukata mauno ndo uzuri?? Wee mzee wa nyeto taratibu mambo yakoo
 
Hakuna ndugu yake Diamond ambaye sio staa.
Namaanisha kuwa bora na mafanikio kwenye muziki.
unadhani yule queen Darleen amefikia hiyo level ya kuwa staa kwenye huu muziki wa hapa Bongo?
lini alitoa hit song au kufanya show?
 
[emoji1] [emoji1] twende mbele turudi nyuma, zuu ni mtamu sana, anakata mauno balaa
mie hapa mate yananibubujika nikiona kamkalia Mondi kwa lap kisha anakata mauno
sipati picha 6x6
Kikubwa wasioane Tu....
#kataandoa[emoji2957][emoji1787]
 
Namaanisha kuwa bora na mafanikio kwenye muziki.
unadhani yule queen Darleen amefikia hiyo level ya kuwa staa kwenye huu muziki wa hapa Bongo?
lini alitoa hit song au kufanya show?
Queen alitolewaga na kiba kwanza kitambo tu,
 
Back
Top Bottom