Minah
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 840
- 2,343
Dah maskini 🙁 aliumwa au gafla tuYule dd mweupe mwenye jicho alifariki mda mrefu kdg.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah maskini 🙁 aliumwa au gafla tuYule dd mweupe mwenye jicho alifariki mda mrefu kdg.
Ilikua ghafla, hlf kipindi hiko alikua anatokana madee.Dah maskini 🙁 aliumwa au gafla tu
Duu nini kimemkuta?Rah p yupo jela sana si angedanga kwa mwanasiasa hapa mjini
Ndio alikua demu wa madeeYule dd mweupe mwenye jicho alifariki mda mrefu kdg.
R.I.PMaunda Zorro alinikosha sana
Walikuwa wanajiita Hot GalzKuna wadada mapacha waliimba na dully sykes wimbo unaitwa raha ya tunda, waliimba wimbo mmoja tu ukawa hit kisha wakapotea sijui wako wapi kwa sasa?
Yes , Hot Galz .Walikuwa wanajiita Hot Galz
Hot Galz, Ikiundwa na Ndugu wawili Neema na Anna , Huyu Anna hakudumu sana kwenye muziki maana alikuwa anasoma kwa wakati huo na alishaolewa tangu 2016 .Kuna wadada mapacha waliimba na dully sykes wimbo unaitwa raha ya tunda, waliimba wimbo mmoja tu ukawa hit kisha wakapotea sijui wako wapi kwa sasa?
sio 'Jay', kinaitwa 'sina hali 'Mask Girls kibao kiliitwa Jay..
jina ni SINA HALI. Kilisumbua sana sana!Mask Girls kibao kiliitwa Jay..