Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

Mmmmh adi mi na pesa tupo tofauti kabisa.
Kusema nina muonekano mzuri au πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
This is insane.Wanaume wenye macho ya kuvutia?Upo sawa kweli?Huwa hatu-address mambo ya wanaume in a childish way.Badilika.Mwanaume haitwi mzuri.Unasema "he is bold enough to be a gentleman "!
 
This is insane.Wanaume wenye macho ya kuvutia?Upo sawa kweli?Huwa hatu-address mambo ya wanaume in a childish way.Badilika.Mwanaume haitwi mzuri.Unasema "he is bold enough to be a gentleman "!
Hainaga vipimo chuki chuki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanaume huwa tunashangaana madushe tofautitofauti maana wengine tunaulizana huwa yanaingizwa wapi kwa jinsi yalivyo makubwa au madogo na si macho. Macho tuwaachie wanawake watushangae. Wanaume ukiona mwenzio kakuzidi dushe huwa tanaahirsha kuoga mtoni hadhani kukwepa kuchekwa maumbile makubwa au madogo
 
This is insane.Wanaume wenye macho ya kuvutia?Upo sawa kweli?Huwa hatu-address mambo ya wanaume in a childish way.Badilika.Mwanaume haitwi mzuri.Unasema "he is bold enough to be a gentleman "!
Acha uwongo, sijui unaishi wapi? Ila hawa wanaume wanaozaliwa kuanzia 2000 ni wazuri, wengine wanazidi hadi wanawake kwa uzurii, labda mwenzetu una chongo, huoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…