Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
😂😂Heheeee kweli huyu naye anayo, afu aya mapozi kaiba kwa mkwewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Heheeee kweli huyu naye anayo, afu aya mapozi kaiba kwa mkwewe
Yale ni majicho sio macho, ndio maana hakuyatajaTupe na wasifu wa macho ya Mr Mwanya.
ha ha haYale ni majicho sio macho, ndio maana hakuyataja
Dunia haina usawa mkuu, hata wanawake wengi wasio na makalio makubwa na sura mbovu ndo wapo wazuri kitandani.Kweli kuna wakaka wazuri hata kama sio msanii ukimuona anavutia, sisi wanawake hilo tunaliangaliaga sana.( ila hatulipi kipaumbele naomba nieleweke)
Tuachane na hilo la wasanii wakaka wa hivyo wazuri hawanaga hela sijui kwa nini?
Msiniponde mawe mimi nina vijipesa vyangu vya kula mwenyewe siombaji mwanaume, ila wakaka wenye muonekano mzuri, macho mazuri, ni wabahili na hawanaga hela ya maana yaani hadi wanakera.
Kweli Mungu hakupi vyote.
Yaani mchawi alie watenganisha wanaume wenye mwonekano mzuri na hela alaaniwe milele.
Sorry kama niko nje ya mada, nimekumbuka zamani panya mmoja alivyokuwa na mwonekano mzuri macho yake, dah bahili balaa. Happy Sunday.
List ya vitu viwili uliona wapi, hapo ilitakiwa iwe Comparison yan VS.Yani list yenyewe ina watu wawili tu? Mods piga ban huyu mpuuzi
Ndo nani jmn🤣Yale hapana, yamezidi hadi yanatisha.
🤣🤣🤣Dunia haina usawa mkuu, hata wanawake wengi wasio na makalio makubwa na sura mbovu ndo wapo wazuri kitandani.
Ni kweliKweli kuna wakaka wazuri hata kama sio msanii ukimuona anavutia, sisi wanawake hilo tunaliangaliaga sana.( ila hatulipi kipaumbele naomba nieleweke)
Tuachane na hilo la wasanii wakaka wa hivyo wazuri hawanaga hela sijui kwa nini?
Msiniponde mawe mimi nina vijipesa vyangu vya kula mwenyewe siombaji mwanaume, ila wakaka wenye muonekano mzuri, macho mazuri, ni wabahili na hawanaga hela ya maana yaani hadi wanakera.
Kweli Mungu hakupi vyote.
Yaani mchawi alie watenganisha wanaume wenye mwonekano mzuri na hela alaaniwe milele.
Sorry kama niko nje ya mada, nimekumbuka zamani panya mmoja alivyokuwa na mwonekano mzuri macho yake, dah bahili balaa. Happy Sunday.
Ni bro wa 40 years huyo Mkuu. Anasema anamiguu laini anayoipenda na kila akioga anahakikisha kajisafisha kila kona ya mwili wake.tuanzie kwanza na wewe. wewe wa kiume au wa kike? au trans?
Macho kama ya KinyongaTupe na wasifu wa macho ya Mr Mwanya.
Hili likatazamwe.Dunia haina usawa mkuu, hata wanawake wengi wasio na makalio makubwa na sura mbovu ndo wapo wazuri kitandani.
Ya kwangu pia hayapo???Kama macho ya Jay Melody hayapo kwenye list uzi ufutwe
Hayo madushe mnayoshangaana na wanaume wenzako mnakuwa wapiWanaume huwa tunashangaana madushe tofautitofauti maana wengine tunaulizana huwa yanaingizwa wapi kwa jinsi yalivyo makubwa au madogo na si macho. Macho tuwaachie wanawake watushangae. Wanaume ukiona mwenzio kakuzidi dushe huwa tanaahirsha kuoga mtoni hadhani kukwepa kuchekwa maumbile makubwa au madogo