Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

mbona rayvan hayupo

Kama huyu mnyakyusa hayapo uzi ufutwe
 

Attachments

  • DB5D268F-D19F-468E-A137-5FFD34463C88.jpeg
    47 KB · Views: 8
  • 8C5F169C-E329-41C0-95A1-79D9711D4989.jpeg
    33.1 KB · Views: 5
Hii thread inahusu macho kweli?? Wanajf hamueleweki.....
 
Wewe ni mwanamke au mwanaume?
 
Hapa umeniongelea mimi kabisa, sina macho ya kurembua kama sample ya hao wakina busoke na mr.blue ila nina nyota ya kupendwa na mademu kuanzia shule, chuo mpaka mtaani ila sasa hapo kwenye kuhonga/kuhudumia ndio hapana kwa kweli.
Ila napata faida ya kupiga mademu wakali ambao wanaume wengine wanatumia gharama kubwa kuwavua chupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…