Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

Dunia haina usawa mkuu, hata wanawake wengi wasio na makalio makubwa na sura mbovu ndo wapo wazuri kitandani.
 
tuanzie kwanza na wewe. wewe wa kiume au wa kike? au trans?
 
Ni kweli
 
tuanzie kwanza na wewe. wewe wa kiume au wa kike? au trans?
Ni bro wa 40 years huyo Mkuu. Anasema anamiguu laini anayoipenda na kila akioga anahakikisha kajisafisha kila kona ya mwili wake.

Kashagombana sana na ndugu na mama yake kisa tabia zake hizo. Pia hajaoa bado sababu hajampata Sinderela wake.

Alipo hatujui, ila ni jamaa mmoja anafikirisha.
 
Hayo madushe mnayoshangaana na wanaume wenzako mnakuwa wapi
 
hivi wanawake huwa wakituangalia wanatathmini hadi macho yetu? ndio nasikia leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…