Huyo nae anaigiza hadi unajuwa kwamba haya ni maigizo na sio reality.Kuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]
Mh hamna kitu kabisaaaaaaWakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Kwani mtu hawezi kusema hapana mara mbili?Anaweza kusema" NOOOOO"
halafu akaongeza " HAPANA"
sasa najiuliza haya maneno Yana maana 2 tofauti?
Ni Bora aseme hapana,,Kwani mtu hawezi kusema hapana mara mbili?
ππ hapo ndo hamna kitu kabisaKuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]
Ndiyo maana wanaitwa wasanii, wasanii wa kibongo ni mazwazwa kweli. Mtu hata kama hajuwi kiingereza anaona ufahari kukariri na kutumia hayo maneno ya kiingereza kwenye tamthilia na sinema zao za kichizi. Poleni mnaowafuatilia.Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Wewe unakitafuta Kifo haraka! Jifunze kuignore ukiwa mstaafuWakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Anaboa sana huyO bonge nyanyaKuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]
Yani anakera huyoooo,kila tamthiliya yeye ni kujifanya kuongea kiinglishiKuna huyo wellu sengo kwenye tamthiliya ya mwanamuziki[emoji51]