Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.

Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.

Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.

Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
 
Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Mh hamna kitu kabisaaaaaa
 
Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Ndiyo maana wanaitwa wasanii, wasanii wa kibongo ni mazwazwa kweli. Mtu hata kama hajuwi kiingereza anaona ufahari kukariri na kutumia hayo maneno ya kiingereza kwenye tamthilia na sinema zao za kichizi. Poleni mnaowafuatilia.
 
Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Wewe unakitafuta Kifo haraka! Jifunze kuignore ukiwa mstaafu
 
Back
Top Bottom