Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, siku hizi ninapata nafasi ya kutizama TV baada ya kustaafu.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.
Nimekuwa naangalia chaneli ya Sinema zetu ya king'amuzi cha Azam na kukerwa na huu mtindo wa baadhi ya waigizaji wakijifanya kuongea Kiinglishi sasa kwa wasio kielewa inakuwa haina maana.
Wenzetu huwa wanaweka maandishi kama tafsiri.
Pana hizi kama Mwanamuziki na Bamba to bamba zinakera.