Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yule kila tamthilia anaboa, hata ktk Pazia pia. Lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1]ila mbona zamani wakati siyo tipwa-tipwa
hakuwa hivyo nilikuwa nampenda,
kujifunza tu kingreza kwa ras simba imekuwa tatizo
 
Achana na ujinga wa bongo movie. Kwamba huna pa kwenda ama huna la kufanya?
 
Hakika,

Halafu jinsi umbile lake lilivyo akivaa traki suti kama mwamvuli wa tigo unatembea.

Anapaswa avae magauni au skirt ndefu ndy anapendeza sn
πŸ˜‚πŸ˜‚ lile hips lake silielewagi mana limeanzia kwenye magoti

bora avae macharanga huwa yanampendeza
 
Literature umeelewa best.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Angalia KOMBOLELA ukutane na uhalisia wa maisha yetu ya kiswazi achana na hawa wa kujifanya uzungu mwiiiiiiiingi hadi wanaharibu.

Kwenye KOMBOLELA kuna Siwa, Mwadawa, Chiku, Tukae, Ahmad na kaka yao Kobisi.....usiwasahau watoto wao Mashavu mtoto wa Siwa, Bibie mtoto wa Mwadawa na Cholo mtoto wa Kobisi, baba yao Mzee Kikala
 
Huwa nashindwa kumwelewa Welu Sengo,ina maana hafati script au ndivyo uhusika unamtaka awe hivyo?Anazidisha mishauo ukiuliza nini,alizaa na Steve Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…