Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

Vingine vunga tu.
Bongo hatuna sehemu tunayofanya vema tunapuyanga kila sehemu.
Umewahi hudhuria cooperate events au awards zinazotolewa kwa makampuni bora? Ungejionea utopolo mwingine huko. Sisi dunia hii tupotupo mradi tunaishi na kujamba.
Hee kumbe hata kwenye cooperate events kuna utoto?
 
[emoji1][emoji1]ila mbona zamani wakati siyo tipwa-tipwa
hakuwa hivyo nilikuwa nampenda,
kujifunza tu kingreza kwa ras simba imekuwa tatizo
Yaan hakna msanii aliyejua kuitendea haki script zaman km yeye wellu, ila sahivi ni nuksi hatareee, yaan anaboa na kukera watazamaji tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Reactions: ABJ
Naomba niulize, kwani wakati wa kuandika script uwa hawaandikiwi maneno ya kuzungumza?
Maana uwa kuna muda inakuwa kama wanashindana kuongea kiinglish
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana, ila sijajua km wanaandikiwa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dada mkubwa govinda umemsahau, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwenye kunenepa hapo!hivi mtu unanenepaje hivyo utasema huna akili timamu? Kunenepa vile Ni ukosefu wa nidhamu binafsi...
 
Shikamoo mzee.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
hivi bado tu mnaangalia hizo takataka?
na kama umestaafu, ni ishara ya kufirisika kifedha na kimawazo.
hizo ni za mabeki tatu na mashangingi ya mjini.

kuna siku nilishuka kwenye basi za mkoani kwa sababu ya kuweka muzi za kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…