True!Kwa nini unawalaumu bongo flava peke yao?
Umewaona wabunge wote wa CHADEMA wameenda kwenye huo msiba achilia mbali wabunge wote wa Tanzania?
Ukiangalia hata viongozi wote wakuu wa CHADEMA hawakuepo kwenye msiba!
Unachofanya ni selective blaming kwa faida ambayo unaijua!
Tusipangie watu nini cha kufanya kwa sababu kufanya hivyo ni aina fulani ya udikteta.
Najilaumu kwa nini nimefungua na kusoma hii mada ya kipumbavu.
We ni mwanaume wa Dar sehemu gani?Jomoniiiii!!!!!!
Jamani hebu tuwaze kwa kutumia angalau nusu ya ubongo. Huyo mtu anayeogopewa hivyo ana nguvu gani? Wabunge wasipoenda kumsalimia mgonjwa wa upinzani analaumiwa fulani, wasanii wasipoenda kutoa rambi rambi kwa mwenzao analaumiwa fulani! Hivi hamwoni kama kuna mtu mmoja mwenye nguvu za kumiliki utashi wa watu wengi namna hiyo basi tatizo litakuwa kwa hao wanaokubali kulazimishwa kufanya mambo kinyume na utashi wao?Rubbish! Kuna watu humu unawafikira (maana huwajui) kama reasonable people kumbe Mhhhh! Is it healthy Mkuu kutotuma rambirambi? Unalisemeaje hilo!
[emoji3][emoji3]Hawa wasanii acha BASATA iwatafune hawajielewi. Ila hapo kwa Papii na baba ake wasije wakarudishwa ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenda zako huko lofa wewe.Unafanana na jina lako..jilaumu pia kwa kucomment
Kuna mbunge wa CCM alikwenda kumwona Lisu? Kwanini polisi walikataza kumwombea, kuvaa T-shirts zake etc?Jamani hebu tuwaze kwa kutumia angalau nusu ya ubongo. Huyo mtu anayeogopewa hivyo ana nguvu gani? Wabunge wasipoenda kumsalimia mgonjwa wa upinzani analaumiwa fulani, wasanii wasipoenda kutoa rambi rambi kwa mwenzao analaumiwa fulani! Hivi hamwoni kama kuna mtu mmoja mwenye nguvu za kumiliki utashi wa watu wengi namna hiyo basi tatizo litakuwa kwa hao wanaokubali kulazimishwa kufanya mambo kinyume na utashi wao?
Acha uongo kijana Sugu katetea sana mambo ya wasanii kipindi kile bunge liko live nimemwona marakadhaa akiongelea madhila ya kuzurumiwa wasaniiWasanii walimwambiaga mh mbona ututetei bungeni akawajibu Mimi siyo mbunge wa wasanii, miye ni mbunge wa wana mbeya akaongeza pia kuwa kipindi anaomba ubunge uko mbeya wasanii hawakwenda masapoti kwaiyo wamuache
My take
Msitusumbue wasanii sugu alishaga tukataa wenzake alisema yeye ni mbunge wa mbeya so ngoja afike mbeya wanainchi watajaa kwake kwa wing tu.
Siyo ndiyo hapo hoja yangu ilipolalia? Hoja yangu ni hii: kama mtu mmoja anaweza ku-control watu wengi namna hii kuwapangia waende kumpa pole nani anapougua au anapofiwa (kitu ambacho siyo kosa kwa namna yoyote ile) basi tatizo litakuwa kwa wale wanaokubali kupangiwa na siyo yule anayewapangia. Mnataka kuniambia watanzania kwa wingi wetu tumefika mahali tunatishwa na kiumbe mmoja kama nyumbu wanavyotishwa na simba?Kuna mbunge wa CCM alikwenda kumwona Lisu? Kwanini polisi walikataza kumwombea, kuvaa T-shirts zake etc?
Hivi wanavyosema kuwa kwenye Jimbo la upinzani maendeleo hawapeleki wanakuwa wanamaana gani?We umejuaje kuwa wameogopa? je msiba wa Sam wa ukweli walienda wasanii wote?Sugu alienda?
Kwani Sugu ana uspecial gani?
Mnalalamika hadi mnaboa