Wakuu
Kiukweli hawa wasanii wetu wa Tanzania baadhi sio wote story zao kwenye kujieleza utajua tu wana matatizo vichwani mwao.
Wasanii wengi utasikia niliishia kidato cha pili hata hawaeleweki na ndio maana wanaishi kwa kuigiza hadi wanakufa
Sisemi vibaya lakini mtu ambae hana shule kwa nchi zetu wanakua sio welewa na wana matatizo mengi sana kwenye akili zao.
Kiukweli hawa wasanii wetu wa Tanzania baadhi sio wote story zao kwenye kujieleza utajua tu wana matatizo vichwani mwao.
Wasanii wengi utasikia niliishia kidato cha pili hata hawaeleweki na ndio maana wanaishi kwa kuigiza hadi wanakufa
Sisemi vibaya lakini mtu ambae hana shule kwa nchi zetu wanakua sio welewa na wana matatizo mengi sana kwenye akili zao.