Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Haha unaweza ukajikuta unawalaani waliokupeleka shule wakati kimsingi walikupeleka ili wakusaidieHahaha hapo inabidi avitafune tuu vyeti kwakweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha unaweza ukajikuta unawalaani waliokupeleka shule wakati kimsingi walikupeleka ili wakusaidieHahaha hapo inabidi avitafune tuu vyeti kwakweli
Ninampenda Shilole anajikubali wala si Mswangilish. She is so real.Shilole kaishia langapi?
Mleta mada hajasema hawana hela. Amesema hawana uwezo mzuri wa kujieleza.
Sijui kwanini mnampiga mawe!
Huu uzi umewatibua magoigoi wa kitaaluma!
HahaaaaaaUtawajua watu ambao shule yao ni mgogoro wanajifariji hapa na wanateteana
Hahaaaaaa
Daaaah! tuvumiliane tu mkuu wenye vielimu vyetu vya ngumbaru... muhimu uhai tu na vipesa vyetu vya nyanya!Mkuu usicheke ni sawa na mtu kua maskini halafu anajifariji mbele za watu kua ni mipango ya Mungu
Mazingira, mazingira tuliyokulia full stop. Mbona wastani wengine wa nchi zilizoendelea wanafanya vizuri tu pia wanajua kujielezaWakuu
Kiukweli hawa wasanii wetu wa Tanzania Baadhi sio wote story Zao kwenye kujieleza utajua tu wana matatizo vichwani mwao.
Wasanii wengi utasikia niliishia form two hata hawaeleweki na ndio maana wanaishi kwa kuigizawhadi wanakufa
Sisemi vibaya lakini mtu ambae hana shule kwa nchi zetu wanakua siowelewa na wanamatatizo mengi sana kwenye akili zao.
Sawa wanatengeneza pesa wamefanya nin cha maana kwenye Tanzania movie industry, mtoa mada kuna uwezekano aja present mada vizur, lakin ni kweli kwamba ili bongo movie ikue inahitaji watu waliosomaAfadhali hao walio ishia form two wanatengeneza pesa na hawalalamikii serikali kuhusu ajira, wengi wameajiri walio maliza hiyo form four....kikubwa zaidi wanatengeneza pesa ndefu ambazo wewe ulisoma ukiamini ndio chanzo cha kuzipata. Acha dharau.
Kweli kabisa watanzania wengi hatuwezi jielezea yaan hatuna confidenceMazingira, mazingira tuliyokulia full stop. Mbona wastani wengine wa nchi zilizoendelea wanafanya vizuri tu pia wanajua kujieleza
Watakula vyeti vyao ,Wameajiri wenye degree kabisa mkuu, dunia hii ya leo bado kuna watu wanaringia vyeti?
Uko sahihiWasanii wanawakilisha jamii wanayoishi, kwa kifupi watanzania wengi, hata hao walioenda shule bado hawajaelimika.
Confidence hatuna lakini hata upeo wetu wa mambo mbalimbali ni duni , mtanzania( wengi wao) hata akiwa phd husimuogope kiivyoKweli kabisa watanzania wengi hatuwezi jielezea yaan hatuna confidence
Ndivyo ilivyo , na uko ndiko tunakoelekeaHaha unaweza ukajikuta unawalaani waliokupeleka shule wakati kimsingi walikupeleka ili wakusaidie
Mazingira ni muhimu sana kuliko kukarii darasaniMazingira, mazingira tuliyokulia full stop. Mbona wastani wengine wa nchi zilizoendelea wanafanya vizuri tu pia wanajua kujieleza