Wasanii wakiniona wanataka kukimbia

Nonsens kabisa nipo humu tangu 2010 nilikua natumia jin ala appoh member wakongwe wananijua vyema sijan hoja ya maana zaid ya negativity tu kichwan mwako
Ngoja waje......

Kama wewe ni mwerevu ukiona mtu kaandika ujinga pita kushoto ukicoment na kuleta debate bas na wewe ni mjinga mmojawapo werevu wamepiga kimya kwenye ujinga huu
 
Kjn sud mank ninkwmaba muda wote yey anashinda Kam ninja aachane na upumbafu
 
Nonsens kabisa nipo humu tangu 2010 nilikua natumia jin ala appoh member wakongwe wananijua vyema sijan hoja ya maana zaid ya negativity tu kichwan mwako
hata ungejiunga JF kabla ya uhuru we ni wa hovyo tu
 
Reactions: EEX
mwanaume rijali hana muda wa kutuma picha zake humu.
Haya lipia tangazo!
 
Na tunakusubiria siku uchangie ujinga kwenye jukwaa la siasa tukutie mbaloni! Picha yako tushaiweka kwenye saver zetu!
Eboo!! [emoji34][emoji34]
Hivi wajijua wewe ni Bipolar???
Usidharau na huu ni mwezi wa utambuzi wa Afya ya Akili ukawahi tiba haraka.
 
Ulichokiandika kiendane na ukweli.Weka picha yako,jina lako halisi,namba ya NIDA na postikodi yako.Siyo unaandika tu kama umekunywa wanzuki na maandazi makavu.
 
Reactions: EEX
Wewe ni mgogo?una sura ya ombaomba!!!
 
Sudy brown ndio mnyama gani?
Hizi kiki tu,Bora ungejifananisha na Mond,tatizo unapanda daladala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…