Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

niliwahi kumuona tabata segerea kitambo kidogo kwenye club moja ya rufita mpaka niliona huruma mixer kawa kama msomali
Vijana na ulimbukeni want hayo madawa siijui hata wanayapendea nini mtu akipata umaarufu kidogo tu lazma atumie
 

Huwezi kumlinda mtu Mzima mwenzako. Wanaotumia acha watumie hakuna namna
 
Wasanii wengi wanaprnda sembe nyeupe ndo mana hawana akili hawali dona kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…