Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Wasanii wanaodaiwa kutumia madawa ya kulevya, ni yupi anayekusikitisha?

Kuna yule msanii wa Wanaume famili, KR Mula na Doro...ukiwaona utalia... nasikia na Young D naye kaanza kuubwia...
 
Mi mpaka leo namuonea huruma q chillah alivyopotea kwenye game kutokana na hayo ma vitu na ferouz
Mkuuu! Chillah hata mie ananisikitisha sana!!! The dude is talented, hakuna nyimbo katoa sijapenda. Such a waste of talent!!!
 
Simfii ila kiukweli kuna kwa miaka aliyoanza unga huyu jamaa ni ngoma ngumu. ..watoto kibao km chiddy benz wameanza juzijuzi ila hawatamaniki. ..japo hastahili kukaa kwa mama mpaka leo ila hiyo ndo silaha yake yuko vile mpaka leo otherwise tungekuwa tumemsahau. ...ukila ngada maisha ya kigheto usipozeeka basi makalio utayaweka bond....nasikitika kusema kama watu wasipomkemea Ben pol soon hatochekana na chiddy benz
Yesuuuu! Na Ben Pol nae jamani?!!!
 
Kweli Chillah alipotea lakini kwa sasa kaacha.
Ukimcheki kwa sasa yuko fresh tu,lasivyo tungesha msahau jamaa.
Aaache na asirudi tena kwenye huo ulimwengu. Kijana yuko fit sana kwenye gemu, I love his music!!
 
Ww kama hujui lugha za watu usizitumie kwani ukiandika kiswahili lugha yako vidole vinavimba au? Eti refer Whitney Houston and his daughter" shame on you next time post on your own language

"On your own language" Basi sawa umesikika. Unaonaje na wewe ukianza kutumia kiswahili au kilugha chenu kindali ukaachana na yai la Malkia.. Chukua ushauri wako mwenyewe
 
List ya wasanii manyoka.
1.Mnyama.
2.Mr green.
3.Macho ya Bwana.
4.Kiuno bila mfupa.
5.Savimbi.
6.Kizunguzungu.
7.Mkwe wa 76.
8.Jeep Rider(unazidi kunifurahisha mkurugenzi)
9.Da Hustler.
10.Benard Paul.
11.Man Dojo.
12.Daz Baba
13.Bibi Bomba 2006.
14.Banyenda 26.
15.Mzee wa shuka la mmasai mtego.
16.Tonya 2

Mkuu Ben Pol huyu huyu wa Sophia au mwingine!! Hii ngumu kumeza maana jamaa ana mwili ule ule toka kaingia jwnye hii tasnia. @muuzasura thibitisha hili maana kwenye hii forum ya celebrities nachukua neno lako kama sheria
 
Mr nice nae kawa kama wa kuchora, sijui kwanini watumiaji wa madawa hawajifunzi kwa wenzao wapo kama nyumbu.... Pole zao kwakweli

Huyo kesi yake kidogo ni tofauti,unamkumbuka bahati mtikisiko,yule demu anayekata miuno hatari kny video yake ya "fagilia",alikuwa anatembea naye na inasemekana kavuta kwa ngwengwe,so huenda na yeye ni mhanga pia mixer na ngada kuzugia
 
Huyo kesi yake kidogo ni tofauti,unamkumbuka bahati mtikisiko,yule demu anayekata miuno hatari kny video yake ya "fagilia",alikuwa anatembea naye na inasemekana kavuta kwa ngwengwe,so huenda na yeye ni mhanga pia mixer na ngada kuzugia
Duh yule dem karudisha jezi? Namkumnuka kibonge flani ana wowowo
 
Back
Top Bottom