sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
ongezea mwana fa muheza, na master j jimbo la rombo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo profesor kingwendu mapeema asubuhi anachukua ndoo.
Akili ya Bulaya sawa sawa na wabunge 100 wa Ccm! Bado najiuliza kwa nini CCM inapendwa zaidi na vilazer?Km bulaya ameweza ubunge shilole anashindwa nini?
1.HARMONIZE
Rajab Abdul ‘Harmonize' - Tandahimba Mkoani Mtwara kwa Tiketi ya CCM
2.SHILOLE
Zuwena Mohammed 'Shilole' - Igunga Kwa Tiketi Ya CCM
3.STEVE NYERERE
Steven Mengele ‘Steve Nyerere - Jimbo la Iringa Mjini kwa Tiketi ya CCM
4.KINGWENDU
Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu, - Pwani Kisarawe kwa Tiketi Ya CUF
View attachment 1487773
KijaniKupitia chama gan??
.....Pierre Liquid1.HARMONIZE
Rajab Abdul ‘Harmonize' - Tandahimba Mkoani Mtwara kwa Tiketi ya CCM
2.SHILOLE
Zuwena Mohammed 'Shilole' - Igunga Kwa Tiketi Ya CCM
3.STEVE NYERERE
Steven Mengele ‘Steve Nyerere - Jimbo la Iringa Mjini kwa Tiketi ya CCM
4.KINGWENDU
Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu, - Pwani Kisarawe kwa Tiketi Ya CUF
View attachment 1487773
Harmonize ndie mbunge mtarajiwa wa Tandahimba.Harmo angebaki kwenye muziki....
Muziki unalipa sana kuliko ubunge...
Under wasafi alikuwa akiingiza B kwa mwaka
Ndio sababu ya kujitoa ili isiwe B ya mgao.
Wote hao ni watu wa hovyo.1.HARMONIZE
Rajab Abdul ‘Harmonize' - Tandahimba Mkoani Mtwara kwa Tiketi ya CCM
2.SHILOLE
Zuwena Mohammed 'Shilole' - Igunga Kwa Tiketi Ya CCM
3.STEVE NYERERE
Steven Mengele ‘Steve Nyerere - Jimbo la Iringa Mjini kwa Tiketi ya CCM
4.KINGWENDU
Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu, - Pwani Kisarawe kwa Tiketi Ya CUF
View attachment 1487773
2015 aligombea huko huko kisarawe tena chama hicho hicho cha CUF akadondokea pua.Hapo profesor kingwendu mapeema asubuhi anachukua ndoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawapiti kwenye kura za maoni hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wagombea wote hao hakuna anaeweza kuandika jina lake kiufasaha.
Labda ashinde njaa sio kushinda nafasi ya ubunge.Harmonize akishinda.
Tujiandae kuona akiingia bungeni kifua wazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama watapita na kuwa Wabunge basi huenda Bunge la Tanzania likatia Fora duniani kwa kuwa na Wabunge Malaya, Wehu na Wavuta Bangi mno.
Alishinda akaomba kutoka nje.yuko nje anawaambia wafuasi wake"heno heno.laha duniani mimi ndo mshindi"kurudi ndani wahuni washapindua meza.2015 aligombea huko huko kisarawe tena chama hicho hicho cha CUF akadondokea pua.