Wasemaji wa team ya Simba na Yanga wamenishangaza sana leo!

Wasemaji wa team ya Simba na Yanga wamenishangaza sana leo!

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
Yaani leo ndio nimejua kumbe mpira wetu nikama siasa zetu tu hatupoki professional kabisa.

Wasemaji wote wa simba na yanga wameongea kuhusu mechi za kimataifa zinazokuja.

Ajabu wapo bize kwenye press wakijiandaa kwenye kampeni kubwa kuanzia jumatano za kupita mtaa kwa mtaa ili kupata washabiki wa kutosha uwanjani.

Swali la kujiuliza hivi kuna haja ya kufanya hizo kampeni kama mikutano ya siasa ili tu tupate washabiki.

Mpira wa miguu sio siasa kama umekamilika uwanjani unaonekana live na kama hukujiandaa unaumbuka uwanjani.

Na washabiki tunajua tunachotaka kama team ipo vizuri itajizolea madhabiki lukiki pasipo kampeni yyte mitaani.

Mimi naona muda wa hamasa ambao watatumia mitaani wangekesha na wachezaji huko kambini kujua in out njia mbalimbali za kukabiliana na hizi team za nje.

Cha ajabu hawakueleza ni namna gani team zetu hizi zinafanya maboresho ya kiufundi hasa kiuchezaji maana ni wazi viwango vya team zote mbili kimataifa sio kizuri na zinatia wasiwasi sana kwenye kufunzu hatua inayofuata hasa Simba.
Wasemaji leo mmetuangusha sana.
 
Hakuna Management kwenye timu.

Walipaswa waseme timu zinapata kiasi gani Kwa TV?

Ili tununue vinga'amuzi na kulipia.

Kipato cha kwanza siku hizi ni TV deals. Mlangoni kipato cha pili
 
Manara ilikua sio lazima aingie road.

Hapo ni maafisa habari wawili wanafanya kazi ya manara mmoja ambaye yeye alikua anamaliza hii kazi kupitia press moja tu pamoja na mitandao ya kijamii.

Waacheni wachape kazi club zimetenga bajeti 😂
 
... Swali la kujiuliza hivi kuna haja ya kufanya hizo kampeni kama mikutano ya siasa ili tu tupate washabiki.
Haja ipo sana tu, ukitaka kuamini muulize Ally Kamwe wa Yanga, yeye alimbeza Ahmed Ally wa Simba wakati amebuni na anapita kwa kampeni hiyo, na Ally Kamwe akaapa kiisilamu kabisa kwamba wallahi sitapita mtaani kuwaita mashabiki waje kumuona Aziz Ki, lakini baada ya kuona ya mwenzake imelipa, yeye mwenyewe akaingia Buguruni kuwakusanya mashabiki wa Yanga, wakala na ugali kwa sukari hadharani pale stendi
 
Kamwe ni professional by nature but Ahmed.....haendani na kazi
 
Yaani leo ndio nimejua kumbe mpira wetu nikama siasa zetu tu hatupoki professional kabisa.

Wasemaji wote wa simba na yanga wameongea kuhusu mechi za kimataifa zinazokuja...
Hio ndio kazi ya wasemaji masuala ya ufundi huongelewa na makocha kwa muda uliopangwa,sema wewe hujui kitu ndio maana unabwabwaja hovyo
 
Yaani leo ndio nimejua kumbe mpira wetu nikama siasa zetu tu hatupoki professional kabisa.

Wasemaji wote wa simba na yanga wameongea kuhusu mechi za kimataifa zinazokuja.

Ajabu wapo bize kwenye press wakijiandaa kwenye kampeni kubwa kuanzia jumatano za kupita mtaa kwa mtaa ili kupata washabiki wa kutosha uwanjani.

Swali la kujiuliza hivi kuna haja ya kufanya hizo kampeni kama mikutano ya siasa ili tu tupate washabiki.

Mpira wa miguu sio siasa kama umekamilika uwanjani unaonekana live na kama hukujiandaa unaumbuka uwanjani.

Na washabiki tunajua tunachotaka kama team ipo vizuri itajizolea madhabiki lukiki pasipo kampeni yyte mitaani.

Mimi naona muda wa hamasa ambao watatumia mitaani wangekesha na wachezaji huko kambini kujua in out njia mbalimbali za kukabiliana na hizi team za nje.

Cha ajabu hawakueleza ni namna gani team zetu hizi zinafanya maboresho ya kiufundi hasa kiuchezaji maana ni wazi viwango vya team zote mbili kimataifa sio kizuri na zinatia wasiwasi sana kwenye kufunzu hatua inayofuata hasa Simba.
Wasemaji leo mmetuangusha sana.

Inashangaza kwa kweli huwezi kuiona hii tabia kule Ulaya wala Arabuni hata kwa Mamelody pale kwa madiba huwezi kuta Afisa habari anazurura mitaani kuhamasisha washabiki…
Sisi tuna changanya siasa na mpira,, timu ikiwa bora watu wanakuja wenyewe uwanjani ukizungumza kwenye media inatosha
 
Haja ipo sana tu, ukitaka kuamini muulize Ally Kamwe wa Yanga, yeye alimbeza Ahmed Ally wa Simba wakati amebuni na anapita kwa kampeni hiyo, na Ally Kamwe akaapa kiisilamu kabisa kwamba wallahi sitapita mtaani kuwaita mashabiki waje kumuona Aziz Ki, lakini baada ya kuona ya mwenzake imelipa, yeye mwenyewe akaingia Buguruni kuwakusanya mashabiki wa Yanga, wakala na ugali kwa sukari hadharani pale stendi

Ndio tuseme wanatetea vibarua vyao….
Maana kuongea kwenye Media inatosha kabisaa kwa mashabiki kusikia wito na kuitikia……

Hv Haji Manara nae alishawahi kuzurura mtaani kuita mashabiki na kispika
 
wapo sahihi kabisa,ipo siku na nchi zingine mnazotolea mfano kama south Africa n,k wataiga.
kwani kuhamasisa kwa kupita huko mitaani kuna baya gani mzee?

Faida za kuhamasisha mashabiki inaongeza mauzo kwenye nembo za club kama jezi,viingilio kwenye mechi husika n,k
 
Mazingira yanatofautiana sana rafiki. Kila jamii inao utamaduni wao kamwe usilinganishe south africa, ulaya sijui uarabuni hata huko ulaya kote wana namna yao.

Njia yetu ya kupita mtaani ni bora kikwetukwetu na wao yao ni bora kivyao kumbuka hili ni soka letu kivyetuvyetu. Tusipangiane mkuu bravo ahmed ally bravo waigaji
 
Hakuna Management kwenye timu.

Walipaswa waseme timu zinapata kiasi gani Kwa TV?

Ili tununue vinga'amuzi na kulipia.

Kipato cha kwanza siku hizi ni TV deals. Mlangoni kipato cha pili
The Boss, lengo la kuhitaji mashabiki waje kujaa uwanjani si kuhitaji mapato tu, bali ni kuhitaji hamasa yao dhidi ya wachezaji kwani shabiki huhesabika kama mchezaji wa 12 uwanjani
 
Yaani leo ndio nimejua kumbe mpira wetu nikama siasa zetu tu hatupoki professional kabisa.

Wasemaji wote wa simba na yanga wameongea kuhusu mechi za kimataifa zinazokuja.

Ajabu wapo bize kwenye press wakijiandaa kwenye kampeni kubwa kuanzia jumatano za kupita mtaa kwa mtaa ili kupata washabiki wa kutosha uwanjani.

Swali la kujiuliza hivi kuna haja ya kufanya hizo kampeni kama mikutano ya siasa ili tu tupate washabiki.

Mpira wa miguu sio siasa kama umekamilika uwanjani unaonekana live na kama hukujiandaa unaumbuka uwanjani.

Na washabiki tunajua tunachotaka kama team ipo vizuri itajizolea madhabiki lukiki pasipo kampeni yyte mitaani.

Mimi naona muda wa hamasa ambao watatumia mitaani wangekesha na wachezaji huko kambini kujua in out njia mbalimbali za kukabiliana na hizi team za nje.

Cha ajabu hawakueleza ni namna gani team zetu hizi zinafanya maboresho ya kiufundi hasa kiuchezaji maana ni wazi viwango vya team zote mbili kimataifa sio kizuri na zinatia wasiwasi sana kwenye kufunzu hatua inayofuata hasa Simba.
Wasemaji leo mmetuangusha sana.
Kwa hiyo masuala ya mbinu unataka yatangazwe barabarani kweli safari yetu kimaendeleo bado sana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza kwa kweli huwezi kuiona hii tabia kule Ulaya wala Arabuni hata kwa Mamelody pale kwa madiba huwezi kuta Afisa habari anazurura mitaani kuhamasisha washabiki…
Sisi tuna changanya siasa na mpira,, timu ikiwa bora watu wanakuja wenyewe uwanjani ukizungumza kwenye media inatosha
Unajua kwa Madiba juzi wamefanyaje? Hawa wa kwetu wako sahihi kabisa!
 
Inashangaza kwa kweli huwezi kuiona hii tabia kule Ulaya wala Arabuni hata kwa Mamelody pale kwa madiba huwezi kuta Afisa habari anazurura mitaani kuhamasisha washabiki…
Sisi tuna changanya siasa na mpira,, timu ikiwa bora watu wanakuja wenyewe uwanjani ukizungumza kwenye media inatosha
Daaaaah we jamaa bwana, haujui kuwa context na culture zinatofautiana?? Kwahyo unataka kila kinachofanyika south Africa au ulaya ndo nasisi tufanye?? Mpira ni burudani wanachofanya Ally na Ahmed ni sahihi maana wanawapa morale mashabiki kuelekea siku ya game..zile vibes huwa zinafanya hata kama mtu ulikuwa hauna mpango wa kwenda Kwa mkapa ukabadili maamuzi...

Hizo habari za kukaa na timu sijui kutafuta mbinu ya kuzifunga team za nje wao haziwahusu, af kusema Simba na Yanga zimefanya vibaya ni Uongo maana zote zina possibility kubwa tu ya kufuzu zikichanga karata vizuri kwenye games zao zijazo..Simba ameshinda games 2 amepoteza 2, Yanga amepoteza 1 draw 1 amewin 2, bado unasema team zinafanya vibaya??

Simba akishinda game ya Horoya tu tayari amefuzu na Yanga akishinda dhidi ya monastir amefuzu, na luckily ni kwamba wote wanacheza home Kwa mkapa unasemaje eti Simba ina wakati mgumu?? Ni kuchanga tu karata vizuri shughuli inaishia Kwa mkapa
 
Back
Top Bottom