Wasemavyo wadau na club nyingine Afrika na kile Kinachoendelea katika Page ya CAF baada ya Goli la Yanga kukataliwa

Wasemavyo wadau na club nyingine Afrika na kile Kinachoendelea katika Page ya CAF baada ya Goli la Yanga kukataliwa

Muuza madafu wa Ikulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2024
Posts
1,277
Reaction score
2,888
Kumekuwa na lawama na Malalamiko toka kila sehemu Afrika kupinga na kuonesha kukerwa kwa kuonewa kwa Yanga kwa kukataliwa kwa Goli lao.

Ukienda kwenye page ya CAF ndio utaona namna wadau toka kila pembe ya Afrika wakilaumu huku wengine hususani baadhi ya vilabu kuonesha hisia zao na kusema ukweli.
96cc375bdf6d41fdb4c07311b3f5dc18.jpg


Hao hapo Raja wameamua kufunguka.
FB_IMG_1712350928700.jpg

Mbunge wa Nzega na mwana simba damu naye kaamua kufunguka.

Ewe Mtanzania tupia "screen short" au picha ya wa Afrika wakifunguka kuhusu kuonewa kwa Yanga.
 
Kumekuwa na lawama na Malalamiko toka kila sehemu Afrika kupinga na kuonesha kukerwa kwa kuonewa kwa Yanga kwa kukataliwa kwa Goli lao.

Ukienda kwenye page ya CAF ndio utaona namna wadau toka kila pembe ya Afrika wakilaumu huku wengine hususani baadhi ya vilabu kuonesha hisia zao na kusema ukweli.
View attachment 2955054

Hao hapo Raja wameamua kufunguka.
View attachment 2955064
Mbunge wa Nzega na mwana simba damu naye kaamua kufunguka.

Ewe Mtanzania tupia "screen short" au picha ya wa Afrika wakifunguka kuhusu kuonewa kwa Yanga.

View: https://youtu.be/MLeP7IeWC9c?si=_a-FvOhFlf98w0cz
 
Kumekuwa na lawama na Malalamiko toka kila sehemu Afrika kupinga na kuonesha kukerwa kwa kuonewa kwa Yanga kwa kukataliwa kwa Goli lao.

Ukienda kwenye page ya CAF ndio utaona namna wadau toka kila pembe ya Afrika wakilaumu huku wengine hususani baadhi ya vilabu kuonesha hisia zao na kusema ukweli.
View attachment 2955054

Hao hapo Raja wameamua kufunguka.
View attachment 2955064
Mbunge wa Nzega na mwana simba damu naye kaamua kufunguka.

Ewe Mtanzania tupia "screen short" au picha ya wa Afrika wakifunguka kuhusu kuonewa kwa Yanga.
Karma ipo itafanya kazi siku moja
 
Kumekuwa na lawama na Malalamiko toka kila sehemu Afrika kupinga na kuonesha kukerwa kwa kuonewa kwa Yanga kwa kukataliwa kwa Goli lao.

Ukienda kwenye page ya CAF ndio utaona namna wadau toka kila pembe ya Afrika wakilaumu huku wengine hususani baadhi ya vilabu kuonesha hisia zao na kusema ukweli.
View attachment 2955054

Hao hapo Raja wameamua kufunguka.
View attachment 2955064
Mbunge wa Nzega na mwana simba damu naye kaamua kufunguka.

Ewe Mtanzania tupia "screen short" au picha ya wa Afrika wakifunguka kuhusu kuonewa kwa Yanga.
Kigwa kasahau uchaguzi wa 2020 ulivyokuwa?
 
Refa wao, ila washambuliaji butu wa Yanga nalo ni janga.

Sundowns wanaogopwa bure tu ila ni wa kawaida sana.
Kama ambavyo timu za uarabuni tulivyokua tunaziogopa ila zikikaa vibaya zinapelekewa pumzi ya moto mpaka wanaomba mechi iishe.
 
Kumekuwa na lawama na Malalamiko toka kila sehemu Afrika kupinga na kuonesha kukerwa kwa kuonewa kwa Yanga kwa kukataliwa kwa Goli lao.

Ukienda kwenye page ya CAF ndio utaona namna wadau toka kila pembe ya Afrika wakilaumu huku wengine hususani baadhi ya vilabu kuonesha hisia zao na kusema ukweli.
View attachment 2955054

Hao hapo Raja wameamua kufunguka.
View attachment 2955064
Mbunge wa Nzega na mwana simba damu naye kaamua kufunguka.

Ewe Mtanzania tupia "screen short" au picha ya wa Afrika wakifunguka kuhusu kuonewa kwa Yanga.
Achaneni na hayo bana, hayabadili matokeo. Mpira ni mchezo wa makosa. Refa na jopo lake wamekosea mshindani wetu amefaidika. Tukubaliane na matokeo tu. Tujipange kwa yajayo.
 
Back
Top Bottom