Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Jamaa anautafuta ustar kwa kutumia shilole,anaamini bila shilole hatoki
mpuuzi sana yule mtoto anajiona kawini kweli
sijui vitoto vingine vikoje hela hana halafu anataka masuperstaa shilole miaka 29 sijui ye ana kumi na nane huko