ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wewe mwenye akili uliona wapi mtoto wa miaka 11 yupo form 3 darasa la saba kamaliza ana miaka mingapiHiv wew una akil sawa sawa lakin ,nyumban kweny watoto wanaanza primary wakiwa na miaka 14?? Badiliken tushatoka huko,au ndo nyie ambao mpaka Sasa raise mnaemjua ni nyerere tu??