Washabiki wa Yanga njooni mjibu maswali haya

Hiv wew una akil sawa sawa lakin ,nyumban kweny watoto wanaanza primary wakiwa na miaka 14?? Badiliken tushatoka huko,au ndo nyie ambao mpaka Sasa raise mnaemjua ni nyerere tu??
Wewe mwenye akili uliona wapi mtoto wa miaka 11 yupo form 3 darasa la saba kamaliza ana miaka mingapi
 
Labda amesoma QT primary [emoji23][emoji23]
 
Nilidhani ni swali la watu wazima, ili nimwambie kuwa sisi tuna msemaji wetu wa timu. Yeye ndio huwa anajibu maswali yote.

Kumbe ni hawa watoto wasiojua kusoma. Waambie hao wanafunzi wenzio wakishajua kusoma na kuandika basi wakasome vizuri historia ya mchezo wa mpira wa miguu Tanzania
 
Mleta mada ni shoga hivo ana depression kubwa sana avumiliwe..
 
Naomba nipe mfano wa mtoto wa miaka miwili aliyeanza darasa la kwanza. Usione humu jf ni sehemu ya kuropoka tu kama upo Facebook. Yaani unaonesha jinsi gani ulivyo mdogo kiumri mpaka kiakili. Hivi unamjua mtoto wa miaka miwili wewe?
Mkuu achana nae huyo.

Anataka league Maana anapewa facts za msingi halafu yeye ana criticize kwa hoja za kitoto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…