Washamba wamemsajili Aziz K kwa Tsh Milioni 400/ wanatamba, ila Wastaarabu wamemsajili Okra kwa Tsh Milioni 460 wala hawatambi

Tusiandikie mate wakati wino upo
 
Mashabiki wa Simba na Yanga wote ni washamba tu. Hapo mshamba mmoja anamcheka mshamba mwenzake wakati wote wametapeliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…