Kesha ongea kamaliza, na sasa ni zamu yenu wasahihishaji!!
Sjui mtatia tiki ama kosa! Shauri yenu
Yule hafundishiki mzee lazima atamwambia mwal wake "we suppose to change the direction"Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.
Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
''Your excellency i am just trying to preach but .... but I cant reach you'' haa haa haa. Huna unalolijua wewe.Hakuwa mwalimu wa kiingereza na hiyo Phd yake sio ya lugha hivyo hamna tatizo hapo.
Peoples ya chadema siyo hii ya akina kilaza wa CCM! ile ni peoples'Huwa anamsikia tundu lissu anasema 'pipoz' Umma unaitikia 'pawa' hapo hata hajui kama amekosea,
Ndugu, hicho sio kiingereza, ni lugha flani inashabihiana na kiingereza.Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.
Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Tunatarajia azungumze Kiingereza cha Tanzania lakini sio level hii ya broken Tz English. Nimesahau jina la yule profesa aliyemwandikia tasnifu ya phd!!yule hafundishiki mzee lazima atamwambia mwal.wake we suppose to change the direction"
Rais Magufuli ni mtu anayependa Kiswahili na huwa anapambana sana kukidumisha na kukikuza lakini cha ajabu anapokuwa na wageni wasiofahamu Kiswahili, ana hulka ya kuongea kiswa-nglish.
Kiingereza ni lugha ya malkia na ilikuja na meli kwahiyo ni vizuri akaongea lugha ya taifa inayoeleweka sababu wakalimani wapo.
Nukuu:
"We suppose to focus according our direction, according our environment, that's only way we can help our peoples. No body should come and say that his there to save the problems of our peoples, we are the one we are lAeader we suppose to change the direction"
... halafu nukuu yako feki; hizo comma umeweka wewe; kwenye original speech hazimo kabisa!
Kajitahidi sana ujumbe wake mzuri sanaHata hivyo kajitahidi
This is how mechanical languages look like! They are brittle, and extraordinarily rigid. No meandering no polishing. Always straight to the point.Hahahahaaaa... (alisikika akicheka mtoto wa darasa la pili wa English medium). Anapenda sana kujifaragua na kutia watu million 60 aibu ya bure. Aongee tu Kiswahili.
Hiyo hoja ni ya kuzamani na imeshapitwa na wakati kitambo. Badilika, hii karne nyingine. Isitoshe Rais ni icon ya nchi. Rais zuzu wa aina hii ni fedheha kwa nchi. Ni afadhali aongee kiswahili kuliko kuliabisha Taifa. Hovyooo kabisa huyu jamaa.Wanasayansi hawahitaji kujua sana lugha hizo mkuu! Ungeniambia kada za sheria na nyingine lakini watu hao wapo hivohivo na wanaeleweka kitaifa na kimataifa! Endelea kukosoa sisi kazi inaendelea
Hahaha alichukua siku saba mapumziko kupractice hotuba ya kiingereza.Your excellency i am just trying to preach but .... but I cant reach you
This is how mechanical languages look like! They are brittle, and extraordinarily rigid. No meandering no polishing. Always straight to the point.
Unajua utafiti na thesis alitumia kiingereza? Wewe unaweza kusema mkulima hahitaji kujua kutumia jembe? Achane kuficha ujinga.Wanasayansi hawahitaji kujua sana lugha hizo mkuu! Ungeniambia kada za sheria na nyingine lakini watu hao wapo hivohivo na wanaeleweka kitaifa na kimataifa! Endelea kukosoa sisi kazi inaendelea