Washauri wa Rais Samia watenguliwe

Washauri wa Rais Samia watenguliwe

Wasaidizi wa Raisi Samia wameshindwa kumshauri katika utekelezaji wa majukumu yake. Katika Masuala nyeti ya Uchumi na Sheria.

1.Dkt.Blandina Kilama ,Msaidizi wa Raisi Uchumi.

2.Nehemia Ernest Mandia Msaidizi wa Raisi Sheria.

Hawa wameshindwa kazi.
Tatizo utakuta hao wasaidizi ni vilaza wa sheria
 
Dah, nimeandika nikafuta
.
20230601_215742.jpg
 
Ukute hao washauri maswala pekee wanayoulizwa ni kama hijab ime match na viatu.

Wanaotoa ushauri hasa wala hawana ajira Ikulu ila ndio wenye kauli. Wenye shughuli zao hawatumiwi.
Eti Inabi ime-match na viatu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais haingii mkataba ila serikali ,mshauri binafsi wa Rais haishauri Serikali anatoa ushauri kwa Rais na anawajibika kwa Rais pale anapoombwa ushauri .Hapo Wa kuwajibika ni AG ambaye ni mshauri mkuu wa serikali kwenye Sheria.
 
Rais haingii mkataba ila serikali ,mshauri binafsi wa Rais haishauri Serikali anatoa ushauri kwa Rais na anawajibika kwa Rais pale anapoombwa ushauri .Hapo Wa kuwajibika ni AG ambaye ni mshauri mkuu wa serikali kwenye Sheria.

Naomba kwanza kujua huyu AG wetu aliingi au alichaguliwa lini kushika ofisi hiyo, pili Kabudi na lukuvi walitolewa lini, kuna vitu nafikiria vinaunganika kama tukiwaza vizuri
 
Back
Top Bottom